Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kwa kifupi chadema yote imejaa wapumbavu huo ndiyo ukweli hakuna yofauti kati ya chadema na ccm.Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Anatia huruma
Msigwa hawezi mtukana lissu hata soku moja!Nimeongea jana na watu wawili mashuhuri pale Iringa (nahifadhi kwa sasa majina yao wasije potezwa) wakisikitishwa na kitendo anachofanyiwa aliyekuwa mbunge wao halali Peter Msigwa cha kubebeshwa Bango kama vijana wa Chipukizi. Ni kweli kwa sasa Msigwa anatumika kuitukana Chadema na hususani viongozi wake Mbowe na Lissu, na kuchonganisha na wengine.
Hiyo ni mission ya CCM kuelekea uchaguzi, lakini kumdhalilisha kwa kumbebesha mabango kama mzee yatima ni kuwatukana Watu wa Iringa walio wahi kumchagua kwa vipindi viwili huku cha Tatu wakiibiwa kura zao.
Hizi dharau haziendi kwa Msigwa au Chadema bali wana Iringa kuwa walikuwa wajinga kumchagua mtu wa hovyo kama mbeba mabango mpya wa CCM.
Msigwa aliyekuwa anaweza kuhenyeshana na kina Kinana leo hata katibu wa UVCCM Mwembetogwa anaweza kumpa majukumu?
#Wamelia sana!
Msigwa hawezi mtukana lissu hata soku moja!
Msigwa ameamua kugeuzwa kikaragosi na vijana wadogo.Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Beki tatu Msigwa ziiiii !!Mchungaji Msigwa Oyeeeee 😂😂
Ukinunuliwa sharti utumike habari ndio hioMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Itafika wakati wanaona hana tija wanamlambisha sumu akafie mbali..Singependa kutumia hili neno, Lakini ni kweli Yaani anakuwa kama takataka, labda watampa million 50 halafu bai bai
Rais wako chura kiziwi si alikuwa secretari, eti Leo ana akili kuliko waTz wote!Chadema akili division 0 wote hadi Mwenyekiti wenu Div 0
Kisha watadai wapinzani wake wa kisiasa "CHADEMA" wamempa sumu.Itafika wakati wanaona hana tija wanamlambisha sumu akafie mbali..
Mbona hata mweyekiti wenu naye O level alipata hiyo Div 0.Chadema akili division 0 wote hadi Mwenyekiti wenu Div 0
Fungu la kumiMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Aisee Brother hii imeniuma sana. Hapa ni wazi kashikishwa TU Hilo lipicha libaya.Nimeongea jana na watu wawili mashuhuri pale Iringa (nahifadhi kwa sasa majina yao wasije potezwa) wakisikitishwa na kitendo anachofanyiwa aliyekuwa mbunge wao halali Peter Msigwa cha kubebeshwa Bango kama vijana wa Chipukizi. Ni kweli kwa sasa Msigwa anatumika kuitukana Chadema na hususani viongozi wake Mbowe na Lissu, na kuchonganisha na wengine.
Hiyo ni mission ya CCM kuelekea uchaguzi, lakini kumdhalilisha kwa kumbebesha mabango kama mzee yatima ni kuwatukana Watu wa Iringa walio wahi kumchagua kwa vipindi viwili huku cha Tatu wakiibiwa kura zao.
Hizi dharau haziendi kwa Msigwa au Chadema bali wana Iringa kuwa walikuwa wajinga kumchagua mtu wa hovyo kama mbeba mabango mpya wa CCM.
Msigwa aliyekuwa anaweza kuhenyeshana na kina Kinana leo hata katibu wa UVCCM Mwembetogwa anaweza kumpa majukumu?
#Wamelia sana!
Kinachofuata hivyo vitoto vitamshikisha ukuta na kwa jinsi alivyojishusha thamani atakubali tu. Inasikitisha sana.Watoto wa Town wanasema kashikishwa PICHA!! Hakika
KAZI ni kipimo cha UTU
Anaonekana kama anajuta kuchelewa kumuunga Mama mkonoMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689