Pre GE2025 Picha: Wameamua kumdhalilisha Peter Msigwa. Ukimtazama usoni amefadhaika sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kawa kinyago cha ule mti mkavu sana nimesahau jina lake. Yaani anafanana sana kwa sasa.
Ila mjanja sana anaweza akarudi Chadema na kusema alienda CCM kupeleza; unajua akiongea mara ishirini watu wataamini. Ikiwezekana arudi sasa akakae benchi CDM kuliko benchi la CCM, hasa Iringa, labda ahamie kwao Njombe kule kweli ni CCM
 
Una maanisha mti wa Mpingo?
Tena hapo uwe umempata mmakonde mahiri wa kuchonga vinyago
 
There is no short cuts on earth
 
Kwa umri wake wa miaka 60 kukosa akili ni aibu kubwa sn, acha adhalilike
 
Sahivi amekuwa kama mtoto yatima utumwani Misri, shenzi type
 
Inaonekana mchungaji kukosa uenyekiti wa Kanda imemchanganya sana kukubaliana na hiyo Hali itamchukua muda mrefu sana wakati huo atakuwa ameathirika sana kisaikolojia
Kutoa maamuzi wakati wa hasira.Kashikishwa picha utadhani mwizi wa kuku wametoka naye kule Kihesa Kilolo Iringa wanampeka pale central polisi.🤔🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…