APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Tunagonga tu, kibaya ukijua unakula nini, nyama za wanyama kuanzia kwenye mishkaki,sambusa,supu,nyama choma na roast zinaliwa sana,Kuna sehemu walikuwa wanauza supu ya mbuzi kumbe ni ya mbwa, walitundika kichwa, ngozi na miguu ya mbuzi kuaminisha kuwa ni mbuzi. Cha ajabu ukila nyama hiyo na kunywa supu yake unaanza kujisikia kiu kubwa, kumbe umekula mbwa
Kuna safari nilisafiri kwa treni, Kuna kituo nikanunua nyama ya kuku ,aisee sijui ilikuwa nini, kuku sio kuku kama limwewe,sijui lihondohondo,sijui lindege gani la ajabu.