Picha: Watanzania mnakula sana mbwa bila kujua. Usijitapishe ukiona hii picha

Kuna sehemu walikuwa wanauza supu ya mbuzi kumbe ni ya mbwa, walitundika kichwa, ngozi na miguu ya mbuzi kuaminisha kuwa ni mbuzi. Cha ajabu ukila nyama hiyo na kunywa supu yake unaanza kujisikia kiu kubwa, kumbe umekula mbwa
Tunagonga tu, kibaya ukijua unakula nini, nyama za wanyama kuanzia kwenye mishkaki,sambusa,supu,nyama choma na roast zinaliwa sana,

Kuna safari nilisafiri kwa treni, Kuna kituo nikanunua nyama ya kuku ,aisee sijui ilikuwa nini, kuku sio kuku kama limwewe,sijui lihondohondo,sijui lindege gani la ajabu.
 
Sas kwa dar mbwa koko mbn adimu sana
Hao mbwa kishua si ni mamilion kuwanunua ili uwachinje uuze supu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Huji kukuta mbwa kafa Iringa...ila wanapunguaga tu. Unashangaa tu kuna mnyama haonekani. Usihoji sana, unapotezea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…