Tunagonga tu, kibaya ukijua unakula nini, nyama za wanyama kuanzia kwenye mishkaki,sambusa,supu,nyama choma na roast zinaliwa sana,Kuna sehemu walikuwa wanauza supu ya mbuzi kumbe ni ya mbwa, walitundika kichwa, ngozi na miguu ya mbuzi kuaminisha kuwa ni mbuzi. Cha ajabu ukila nyama hiyo na kunywa supu yake unaanza kujisikia kiu kubwa, kumbe umekula mbwa
Sas kwa dar mbwa koko mbn adimu sanaDar ndy kunaongoza Kwa kuliwa nyama za ajabu ajabu,hasa uswahilini
Unakuta jioni mtu amezungukwa na watu kibao unajiuliza anauza nn pale,ukisogea unakuta anauza supu,ukiangalia sasa hiyo supu,unauliza unataka koromeo,kwasukwasu,ubongo,nyama nyama au bandama? Watu wanadhani wanakula supu ya nyama ya ng'ombe Tu kumbe supu zingine za ajabu ajabu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kuna nyama za paka mkuu..siyo lazima mbwaSas kwa dar mbwa koko mbn adimu sana
Hao mbwa kishua si ni mamilion kuwanunua ili uwachinje uuze supu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
KuLa tu! Haina shida!Sheria inasemaje kuhusu nyama ya mbwa
Nilikua nataka nijue maana namwona mnyamwezi hapo kama yupo chini ya ulinziKuLa tu! Haina shida!
Sherehe ya kula nyama ya mbwa yafanyika China - BBC News Swahili
Sherehe ya kula nyama ya mbwa iliogubikwa na utata katika mji wa Yullin nchini China imeanza licha ya ripoti za awali kwamba ilikuwa imepigwa marufuku mwaka huuwww.bbc.com
Wamemsanua tu wenzake wenye wivu!Nilikua nataka nijue maana namwona mnyamwezi hapo kama yupo chini ya ulinzi
Sheria ya dini au ya serikali?Sheria inasemaje kuhusu nyama ya mbwa
Walaji wa mishkaki barabarani wanahusika sana
Ya serikali maana ndio tunazifuata