Lizinzi lile libaba ... nakumbuka nikiwa TanroadsMagufuli aliwabeba mtu na shemeji yake na kuwapa ubunge na uwaziri, sijui ni kwa sababu ya kabila
Halafu kuna watu wanasema alikuwa mtetezi sijui wa wanyonge
Anapigwa mpaka kichuma majani ya kula usikaririMapenzi bwana!!! so huyu mama nae anabebishwaga licha ya kisirani chake chote😅
au ukute huwa anadeka naye😂
Watu wana dhiki sana! sioni haja ya hii couple kushambuliwa kwa dhihakaMbona kuna watu wanatokwa na povu? Hili ni jukwaa huru kila ana maoni yake
Baba yupi!Lizinzi lile libaba ... nakumbuka nikiwa Tanroads
Iilkuaje mkuuLizinzi lile libaba ... nakumbuka nikiwa Tanroads
Inahusiana nini na kukatiza kwao Berlin? Ni mtu mpumbavu pekee anayepambana na mfu,you are among of them!Magufuli aliwabeba mtu na shemeji yake na kuwapa ubunge na uwaziri, sijui ni kwa sababu ya kabila
Halafu kuna watu wanasema alikuwa mtetezi sijui wa wanyonge
Weka picha yako tuone ulivyovaa,acha wivu ww!Wamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Wafuasi wa mfu ndio mnamleta mfu wenu kila siku mkimsifia, kama inaruhusiwa kumsifia mfu basi iruhusiwe kumponda mfuInahusiana nini na kukatiza kwao Berlin? Ni mtu mpumbavu pekee anayepambana na mfu,you are among of them!
Wamevaa wao, wewe unaumia wapi? Wamekuja kukulalamikia kuwa wanasikia baridi?Jaman haya makoti hapana, kama wazoa taka na hayana joto saaana
Wazungu walifanya kitu mbaya sana walipoanza kudeal na akili zetu. Imagine kuvaa kitenge ni ushambaWamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Ndio kina nani?waigizaji wa bongo muvi?waliishawahi kucheza na kanumba!?
Sawa tu, fresh.Sisi tupo zetu huku Katerero tunakula senene maisha muruaa kabisa.
Wasukuma wengi waliokuwa jeshini walikuwa recruited kuwa informers wa jiwe. Ilikuwa balaaKipindi kile kuwa msukuma ilikua ni kigezo namba wani kwenye uteuzi.
Qualification kilikua kigezo namba foo