Picha: Waziri Mkuu Kassim na wananchi wa Ruangwa walivyofatilia Hotuba ya Rais Samia

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Wananchi wa Ruangwa ni miongoni wa Tanzania walifanikiwa kuifuatilia Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan
Unanikumbusha TV yangu ya zamani ya Pasonic, ukiiwasha inaanza sauti kwanzaaa, halafu picha baadaayeeee, ndo hii sasa tunasubiri picha
 
Kaongea nini mhe ktk salaam zake? Sioni mkitujuza ambao hatukubahatika kumfuatilia.
 
Dahh....ukingalia Raisi anavotrend na kusifiwa halafu ukaangali hali ya nchi na raiwa wake, unaweza kufikiri upo ndotoni kumbe ndio uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…