Picha ya Kufungulia mwaka 2025 hii hapa, Imepatikana Mikocheni

Picha ya Kufungulia mwaka 2025 hii hapa, Imepatikana Mikocheni

Ulitaka wakae mkao gani ili uwaone hawana hizi sifa za unafiki, u-snitch na chuki..?

Ulitaka waingie na kukaa ukumbini kama wanamieleka wanaojiandaa kuanza kugaragazana chini...?

Haya mambo tunayoyaona huku nje kama vile hii miamba miwili ihahasimiana, siyo kivile. Yanazungumzika na watu wanaweza kupatana kabisa...

And that's what I see from these two guys...

Tundu Lissu atakuwa Mwenyekiti wa CHADEMA (hili Mbowe ameshalikubali) ili yeye Mbowe agombee u - Rais mwaka huu 2025...

It's simple just like that...

Tuwalaumu tu kuwa, mapatano haya yamefanyika ikiwa tayari damage na ruputation ya wote hawa wawili imeharibiwa sana na wafuasi wa kambi zao...

They should heve done this earlier before in order to avoid the chaos which is escalating every day...
Great Sir!!!
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.

Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA
Urafiki wa mashaka
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.

Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA

Hii hapa

View attachment 3198820

Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana

Kauli yenyewe hii hapa

View attachment 3198826

Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!

View attachment 3198829

Mungu Ibariki CHADEMA.
🤣🤣🤣🤣 Aisee sasa huyu mungu abariki chama kipi? Ccm chadema cuf act?
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.

Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA

Hii hapa

View attachment 3198820

Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana

Kauli yenyewe hii hapa

View attachment 3198826

Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!

View attachment 3198829

Mungu Ibariki CHADEMA.
Wanaokipenda chadema wanatamani Sana hiki chama kifike mbali, wazee wa chadema wamuombe mbowe abaki mshauri wa chama, wamwachie lissu apige mchakamchaka na maccm
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.

Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA

Hii hapa

View attachment 3198820

Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana

Kauli yenyewe hii hapa

View attachment 3198826

Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!

View attachment 3198829

Mungu Ibariki CHADEMA.
Hivi lugha ya chadema ni kizungu? Au hiyo slogan ya 'stronger together imelengwa kwa wale wana diaspora wa TAL na mabeberu wake? Kwa nini isiwe 'Umoja ni Nguvu"?

Anyway, hapo Mbowe anaonekana kijana zaidi kuliko Lissu. Kweli age is just a number!
 
Hivi lugha ya chadema ni kizungu? Au hiyo slogan ya 'stronger together imelengwa kwa wale wana diaspora wa TAL na mabeberu? Kwa nini isiwe 'Umoja ni Nguvu"?

Anyway, hapo Mbowe anaonekana kijana zaidi kuliko Lissu. Kweli age is just a number!
Mbowe awe mwenyekiti wa Baraza la wadhamini la chama, huko kunamfaa Sana.Uwenyekiti aachiwe lissuuuu
 
Tatizo mtoa mada huwa ni mtu wa hasira hasira ukimwambia ukweli, lakini kwa uhakika kabisa hapo hakuna cha stronga tugeza, hizo njemba zinachekeana usoni tu ila kwa ndani ni chuki za hatari sana
..lakini ni mfano wa kuigwa, utofauti wa mawazo sio uadui, wenzetu marekani wapinzani wanapiga stori vizuri tu, juzi trump na Obama wamepiga stori kama mabest mpaka vicheko
 
Ayatollah khemenei kaguta nkurunzinza mbowe ashafanya take😄😄😄

kina sugu washagawa mlungula kwa wapiga kura😄😄😄
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.

Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA

Hii hapa

View attachment 3198820

Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana

Kauli yenyewe hii hapa

View attachment 3198826

Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!

View attachment 3198829

Mungu Ibariki CHADEMA.
😂😂😂

Kwahiyo ulitgemea kuona watu wamenuniana?

......Hakuna jipya hapo.
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.

Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA

Hii hapa

View attachment 3198820

Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana

Kauli yenyewe hii hapa

View attachment 3198826

Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!

View attachment 3198829

Mungu Ibariki CHADEMA.
Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!
 
Back
Top Bottom