Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
Leo ni zamu ya Muliro kupelekaUmempelekea uji Dr. Slaa mahabusu?😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni zamu ya Muliro kupelekaUmempelekea uji Dr. Slaa mahabusu?😁
Hawezi kuiba kura?Inatakiwa mumshinde kwenye Uchaguzi ili atoke, ndio dawa yake
We subiri waende kwenye mahojiano na vyombo vya habari uone wanavyopondana, kukejeliana na kurushiana tuhuma na matusi.Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!
Pale wapi unafanya nini? Wanaume wenzio tuko huku wewe pale upo na nani na unafanywa nini? Muwe mnaacha kauli za ajabu ajabu.Mbowe mwenyekiti, Lisu rais niko palee
Mchawi na KuhaniKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.
Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA
Hii hapa
View attachment 3198820
Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana
Kauli yenyewe hii hapa
View attachment 3198826
Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!
View attachment 3198829
Mungu Ibariki CHADEMA.
Well Noted MkuuSiasa za hivi zimewashinda kabisa ccm, chama cha mbeleko ya vyombo vya dola. Wao ni kutekana, kampeni za kumtukuza mwenyekiti ili kupata vyeo.
Uchaguzi wa cdm umerejesha ladha ya chaguzi za ushindani wa kisiasa tunazozitegemea, sio zile chaguzi za kishenzi chini ya ccm. Tunaona midahalo na kujinadi waziwazi kwa wagombea. Inshort cdm wanafanya siasa za level ya juu sana.
Kwa sababu Tundu Lisu ni mkweli hivyo Mbowe anaogopa atawaamsha waliolala 😂Hivi kwanini Mbowe hataki kuachia madaraka, mpaka wadau wamepiga sana kelele?
Hata Yuda Iskarioti alimkumbatia Yesu 😂
Ameshachelewa Chadema iko uchi 🐼Mbowe akiamua kukabidhi kijiti kiaina atakuwa ni genius kwenye siasa za Bongo kuliko Mwalimu.
😆😆😆😆Lumumba matumbo moto Chadema kawapiga chekundu cheusi.....
Msimbazi Senta ...heri ya wale wapatanishi ...Lumumba mjipange huko Chadema imeonyesha ukomavu minyukano inaimarisha TAASISIAmeshachelewa Chadema iko uchi 🐼
Na ni kifaduro balaaWewe kifaduro na wewe hebu tuache.
😃😃Na ni kifaduro balaa
Umeandika kijinga sanaWanaharakati uchwara watamind sana...
Hiyo picha haisambazwi kabisa na wale diaspora 30 wa SyW