Picha ya Kufungulia mwaka 2025 hii hapa, Imepatikana Mikocheni

Picha ya Kufungulia mwaka 2025 hii hapa, Imepatikana Mikocheni

Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.

Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA

Hii hapa

View attachment 3198820

Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana

Kauli yenyewe hii hapa

View attachment 3198826

Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!

View attachment 3198829

Mungu Ibariki CHADEMA.
Mwenyekiti wa saccos na genge lake
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.

Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA

Hii hapa

View attachment 3198820

Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana

Kauli yenyewe hii hapa

View attachment 3198826

Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!

View attachment 3198829

Mungu Ibariki CHADEMA.
Sasa watu walitaka hao viongozi wasiende eneo la tukio wakati bado ni viongozi? Hapo lazima kukutana, then mkitoka hapo huyu kubwabwaja mitandoni yule redion

Kwanza mmoja wapo asingetokea hapo ina maana umma ungemchukulia ndio tatizo, hivyo kuhudhuria vikao na kutabasamu ni kuficha umbo la nje ili usije ukatengeneza hisia hasi huku ukimpa mpinzani wako credit
 
Siasa za hivi zimewashinda kabisa ccm, chama cha mbeleko ya vyombo vya dola. Wao ni kutekana, kampeni za kumtukuza mwenyekiti ili kupata vyeo.

Uchaguzi wa cdm umerejesha ladha ya chaguzi za ushindani wa kisiasa tunazozitegemea, sio zile chaguzi za kishenzi chini ya ccm. Tunaona midahalo na kujinadi waziwazi kwa wagombea. Inshort cdm wanafanya siasa za level ya juu sana.
Doh! Nyie watu ni professional hypocrites!!

🤣 Haki aliewapa jina la Nyumbu aliwaza mbali sana!
 
Lumumba matumbo moto Chadema kawapiga chekundu cheusi.....
Kwamba umegoma kabisa kumuona mkandarasi wa hilo pose + tukio mpaka sasa?

Everyone and everything is well under scripted, question is…. Will they all play their parts as “directed” or some will catch feelings along the way like we witnessed in the past few days?!
 
Tundu Lisu afukuzwe waache utani, haiwezekani Dr.Slaa akamatwe kwa kusema maneno ya kichochezi halafu Lisu anaachwa kwa maneno yaleyale. Mama Abdul na Mwanaye wanamuonga kila Kiongozi asiyemtaka CHADEMA, lakini hana ushahidi.

Akifukuzwa chadema, polisi wamkamate naye wamuweke rumande kwa usalama wake. Na wakiweza wakamate ni kikundi chake cha wahuni chote.
 
Back
Top Bottom