Picha ya Kufungulia mwaka 2025 hii hapa, Imepatikana Mikocheni

Hiyo inaitwa urafiki wa mashaka
 
Analalamikia nn ambacho kitafanya hata asikae meza moja na wenzake kwenye chama? Watakaoamua nani awe mwenyekiti ni wajumbe mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚

Shida ni hizo fake smiles, kukaa kikao ni lazima
 
Key pointπŸ‘† REPUTATION YA HAWA WAWILI(Mbowe & Lissu) IMESHAHARIBIWA SANA NA WAFUASI WA KAMBI ZAO.
Umeandika kitu kikubwa sana in just one sentence.
Wafuasi wa hawa jamaa ni kama wana upungufu flani vichwani mwao kabla ya kujua what will be the outcome kwa mihemko wanachafua watu wao to the point hata jamaa wakifikia ku-compromise on certain issues wafike fifty fifty then waliburuze gurudumu kwa pamoja the damage control will be an uphill task.
 
Mkuu si kila umuonae humu ni mbumbumbu wa kila kitu. Kuna watu wana nufaika na hayo lakini kuna watu wanapoteza MALI,NGUVU MUDA NA MVUTO katika hayo!
Sasa kwanini msiwaachie wenyewe wamalize mambo yao kutwa kucha mumejazana humu watu wa CCM kuingilia mambo yasiyowahusu,mna manufaa gani na Mbowe kuwa mwenyekiti 8?
 
I
kweli kilikuja na meli...soma hii na useme kosa liko wapi

If it were me
Use "if it were me" when describing an imaginary situation or something that's contrary to fact.

let us discuss !
f it were me I could have done this and that and that and that and then ending in doing nothing at all πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Hii Jiingereza yangu ya kuombea maji tu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜„
Wanasemaga always at least say something to make other people feel better and make them happy πŸ˜ƒ ! 😳

Hii ni Jiingereza ya NdolelejiUduhe karibu na Shagihiru πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ™Œ !
 
Huyu Lissu si machadema yanasema anaropokaga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…