Kama huu ni upuuzi basi na wewe ni mpuuzi nambar moja
sasa hata kama ukijifanya kuumia haisaidii kama kudhalilishwa kashadhalilishwa tayar, apo akae chini ajiulize kwa nini wamdhalilishe mama yake na sio mama wa mwingine? Akipat jibu sidhan kama hili tatizo litatokea tena, haijalish kama ugomvi wa wema hauhusiani na mama yake au mtu mwingine. Binadamu tuna vichaa vya asili, ukijifanya mjuaji ,kuna watu wanaojua zaid.
Sikiliza mdogo wangu hakuna sababu ya kunitukana hatuwezi fika huko sababu hatupati faida yoyote toka kwa Wema wala Kajala.
Kuumia kweli nimeumia sababu naelewa umuhimu wa mama hapa duniani , namimi pia ni mama .
Mama Wema kashadhalilishwa tunachotakiwa tukemee hizi team sababu tunavyowashabikia kwa upuuzi wanaofanya kesho watafanya kwa wamama wengine.
Kwamfano we unavyofurahi mama Wema kufanyiwa hivyi je watu wakimhukumu mama yako sababu yako utafurahi???