dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,825
- 3,675
Nadhani kama kulikuwa na bifu ni bora wangeweka picha wema mwenyewe kuweka picha za mama Wema siyo istaarabu kabisaa
mbona wakati mtoto wa kajala anadhalilishwa na timu ya wema yeye wema alikaa kimya? Ina maana ni sahihi kwa mtoto wa kajala kuhusishwa kwenye ugomvi wa kajala ila si sahihi kwa mama wa wema kuhusishwa kwenye ugomvi wa wema? Wema alipaswa kutoa tamko kuwa hasupport watu waliokuwa wanamdhalilisha mtoto wa kajala kwa niaba ya yeye wema. Kwa kuwa kipindi kile alioba sawa tu basi acha hili nalo liwe sawa tu. Wolper alizikataa hizi timu watu wakamuona failure sasa leo ndio wameona madhara yake. Hongera wote mliofanya huo upuuzi kwa kuwa sasa wema atajua ni kwanini hatakiwi kusupport hizo timu pia atajua maumivu aliyokuwa akiyapitia kajala wakati ule.