Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

Aisee wakishafikaga 25 wanasaka ndoa kwa udi na uvumba mpaka wanakupa mashaka, hapo wanajikuta wanaachia tu mtu akimdanganya nitakuoa basi watu wanajilia mzigo na kusepa na ndio kinachowafanya wasiolewe.
 
Yawezekana mashauzi na machaguzi mengi....
Lakini naona mmoja wao keshatotoa. Kuna kitegemezi kwenye picha hapo. Labda kama ni wa mpiga picha ambaye ameshaolewa amewapa wamshikie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waolewe mara ngapi kila mmoja keshapitiwa na wanaume si chini ya 10
 
Mwishowe na sie mabachelor wata sema tuwe na semina elekez
 
Halafu mijamke mingine inariiiiinga ukitaka kukonga nyoyo,maza fanta kabisa.
Wakati utamu tunapata woote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…