Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Sifa moja wapo ya mwanamke ni urembo pia[emoji4]Hatuoi urembo tunaoa mwanamke......
Lakini naona mmoja wao keshatotoa. Kuna kitegemezi kwenye picha hapo. Labda kama ni wa mpiga picha ambaye ameshaolewa amewapa wamshikie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yawezekana mashauzi na machaguzi mengi....
nenda kaoe cc bado tupotupo sana.Sasa hao wakinadada wataolewa na nani kama sisi wanaume hatuna mpango wa kuwaoa. Tuache ubabaishaji. Tutoe mali. Tuoe hao warembo.
Mimi nmeshaoa. Ndoa yangu ina miaka mitano.nenda kaoe cc bado tupotupo sana.
Kama urembo ndio utalea familia, kama urembo ndo utanishauri kipi cha kufanya kwa mustakabadhi wa familia, kama urembo ndio utang'amua majukumu ya mwanamke ktk familia basi sawa.....Sifa moja wapo ya mwanamke ni urembo pia[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi wanaume wakibongo wanaenda Rwanda na Kenya wameamua kutuachia bendera ya Tz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakini naona mmoja wao keshatotoa. Kuna kitegemezi kwenye picha hapo. Labda kama ni wa mpiga picha ambaye ameshaolewa amewapa wamshikie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku chura ikiisha unaenda RwandaKuna mmoja hapo ana chura,i wish i was there!!
Wameamua kutufanyia hvyo ngoja sisi tupeperushe bendera hatuna namna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]