Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Aisee wakishafikaga 25 wanasaka ndoa kwa udi na uvumba mpaka wanakupa mashaka, hapo wanajikuta wanaachia tu mtu akimdanganya nitakuoa basi watu wanajilia mzigo na kusepa na ndio kinachowafanya wasiolewe.