Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

Wanapenda kutufanya vilaza na masharti mengi ila wakitoka semina waendelee na zingine hadi wawe wahitimu na vyeti vya kuhitimu ndo wanaweza wakatulia
 
ila kiukwel kwa mwanamke alie jitunza ni ngumu sana kukosa mume yan ngumu mno sa apo kuna weng hawajaolewa kwa sabbu ya tabia zao mostly kupanga wanaume mishikaki, niwa ase tu wanawake msishindane na wanaume kama ana kimada we usilipize kuwa na mwanaume mwingine jua kwamba mwanaume tangu kitambo walikua na mke zaid ya m1 , ila hi haijatokea kwa wanawake , pia jitunze kuvua chupi b4 marriage kinawagalim weng
 
ila kiukwel kwa mwanamke alie jitunza ni ngumu sana kukosa mume yan ngumu mno sa apo kuna weng hawajaolewa kwa sabbu ya tabia zao mostly kupanga wanaume mishikaki, niwa ase tu wanawake msishindane na wanaume kama ana kimada we usilipize kuwa na mwanaume mwingine jua kwamba mwanaume tangu kitambo walikua na mke zaid ya m1 , ila hi haijatokea kwa wanawake , pia jitunze kuvua chupi b4 marriage kinawagalim weng
sikubaliani sana na wewe wanawake wengi walioenda hapo hawako hivyo sema wanachangamoto kubwa ya kuujua ukweli na hawapendi kuonewa ukiweka ndani lazima mbishane kwa kuwa wako vizuri kichwani sasa wanaume wengi hawapendi challenge wanataka wanawake wa ndio!
na hii ndio gharama ambayo hawaikuijua mwanzo kumbe walitakiwa wakunjue makucha wakifika ndani
 
Wanawake wana changamoto sana maana wengine hawajui hata value yao kwenye relationship, wengine wanajua kuwa kwenye relationship ni kula bata na kupendeza na kutolewa out na baby baby nyiiiingi...know your value then your man will act accordingly, mbona kuna watu wanaitwa wife material...hawatoki Venus wapo humuhumu ila wanajulikana Value zao
 
sikubaliani sana na wewe wanawake wengi walioenda hapo hawako hivyo sema wanachangamoto kubwa ya kuujua ukweli na hawapendi kuonewa ukiweka ndani lazima mbishane kwa kuwa wako vizuri kichwani sasa wanaume wengi hawapendi challenge wanataka wanawake wa ndio!
na hii ndio gharama ambayo hawaikuijua mwanzo kumbe walitakiwa wakunjue makucha wakifika ndani
sio kwamba tunapenda wanawake wa ndio, sis tunataka heshima atakama una pesa au elimu ukija kwangu usinipand kichwan , hv unajua kuwa w/ke wana adabu hakuna mfano, ila kuna wengne kwakua tu wanapesa au wazur wanataka kuwa na maamuz sasa sisi ndo atutaki na hii inatoke sana kwa w/ke wenye kaelim kdgo au kpato, hawa wengne ambao hawana ela sana kutucheat wanaongoza INGAWANA CC WANAUME NI CHANZO CHA WANAWAKE KUHANGAIKA
 
sio kwamba tunapenda wanawake wa ndio, sis tunataka heshima atakama una pesa au elimu ukija kwangu usinipand kichwan , hv unajua kuwa w/ke wana adabu hakuna mfano, ila kuna wengne kwakua tu wanapesa au wazur wanataka kuwa na maamuz sasa sisi ndo atutaki na hii inatoke sana kwa w/ke wenye kaelim kdgo au kpato, hawa wengne ambao hawana ela sana kutucheat wanaongoza INGAWANA CC WANAUME NI CHANZO CHA WANAWAKE KUHANGAIKA
umesema vizuri ukweli ni kwamba wanawake hawaeleweki! ndo maana inabidi uonyeshe msimamo siku za kwanza ukikosea imekula kwako! mimi toka zamani napenda wanawake wabishi nawakorofi na ninachofanya nikiwarekebisha maisha yanaenda! hivyo lazima kuwa makini katika kuwamudu wakati naanza niliyenaye sasa ambaye ni mke kuna wakati nilikuwa natafuta sababu ya kukasirika bila sababu ili mradi nimnyooshe tu
 
Wengi wao wamejitakia
Wanataka mume awe na
6 packs
Handsome
Awe na gari
Nyumba
Vyote kwa pamoja
Afu kwao hata kupelekwa shule na gari la baba hajawahi, mara nyingi madem wanaopenda mavitu ya kimuvimuvi hawajayazoea hayo mambo ndiomaana wanataka tuwafanyie km akina angelo na ina, in real life mwanaume mwenye hayo mavitu haitaji kupe wakupiga selfi instagram, tunahtaji real woman a dependable woman anayeheshimika kwa jamii. Sio wa selfie hao watahudhuria tu kongamano afu tunawagoooonga hadi wapate degree za kongamano
 
Ipitishwe sheria iwe lazima wake wawili kwa kila muoaji nadhani watakuwa haba tena hawapatikani kabisa
 
Picha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi wanapofikisha miaka 25 hawajaolewa.

Jambo jingine ambalo huwanyima usingizi Wasichana wengi ni maswali ya "unaolewa lini" kutoka kwenye Jamii zinazowazunguka. via BBC

View attachment 769257
Baada ya kuangalia hiyo picha vizuri nimepata mshangao kumuona msichana ninayemfahamu.
Sikuamini macho yangu kwamba na yeye ana pressure ya kuolewa.
 
Back
Top Bottom