Picha za Abdul Nondo akiwa hospitali akiendelea na matibabu

Wacha kabisa
 
Na Kuna mipimbi mingine jana ilishaanza, 'ooh, zitto muongo. Wamelipanga tu hili"
 
Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Mkuu,

Una hakika gani kwamba hizi ni movies?

Hujui ikiwa umekosea hizi si movies, watu wameumizwa kweli, halafu wewe ukatoa kauli hizi za kejeli utakuwa umewakosea sana si wao tu, bali Watanzania na wapenda haki wote?
 
Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Ulikua umekufa sasa umefufuka kuja tu kuchuma Laana !!
 
 

Attachments

  • wAAYu9E.jpg
    271.9 KB · Views: 3
Duh walimchoma na pasi mgongoni?
 
Yarabi Toba!

Mpwa wa mwarabu wa Oman kaja kutumaliza watanganyika.

Lkn uzuri wake ni kwamba 2025 hatoboi!!
 
Uzuri wa haya magenge yanayofanya uhuni huu yanakuwaga kama mbwa kichaa kuna siku yatamdhuru hadi mmiliki
Ni kweli. Kundi la Mbonera Kule ilikuwa likitumika na watawala wa Burundi kudhuru wapinzani, lkn mwisho wa siku likawa tishio. Ndiyo maana limeunganishwa na chama tawala CNDD-FDD kwa sasa kinaitwa. .....CNDD-FDD-MBONERA KULE
 
Kama huyu wamemfanya hv sipati picha mdude huko aliko anayapitia yapi, naona watakuwa wanamning'iniza kama popo huku wakimchapa bakora za matakoni.

Duh hawa watu sio poa, halafu lile bonge tarimo lililokoswakoswa kutekwa linahojiwa eti linasema tusijadili issue yake linaimani na hawa manjagu. Jinga sn ss kama lilikuwa linaona ni watu wema kwa nn lilikuwa linagoma kupanda gari ili wakalunyooshe vizuri

Lilikuwa linajamba tu siku ile wale wahuni walipokuwa wanaliingiza kwenye gari huku likilia kuomba msaada, na inavyoonesha bado yupo kwenye target zao akijaa safari wanamchukua mazima na akirudi hai itakuwa bahati yake unless atakuwa zaidi ya nondo maana kamekuwa kadogo huku kakitafakari yaliyomsibu.
 
Kwa masaa machache tu wamemfinya hivyo ingelikuwa siku 2 au 3 sijui angelikuwa kwenye hali gani!

Na kwa namna ya hicho kipigo inaonekana wamempa onyo! Yaani kipigo cha onyo!
 
Hakuna haja ya kumpiga picha mgonjwa.
Asiyeamini muacheni asiamini.
mtu kafuatwa kituo Cha mabasi wakambeba ila mtu bado anabisha sasa huyo ana akili kweli?
Haya Mzee kibao mpaka kauliwa lakini Kuna watu bado wanabisha
 
Kwa masaa machache tu wamemfinya hivyo ingelikuwa siku 2 au 3 sijui angelikuwa kwenye hali gani!

Na kwa namna ya hicho kipigo inaonekana wamempa onyo! Yaani kipigo cha onyo!
Wamekosea ehee?
Walitakiwa wamuue kabisa
 
bato nyoso ba
mokili bazali bana
banzambe pona
nini tobomana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…