Kwa nini isiwe kiongozi aliyeshindwa kuongoza serikali kiasi cha kusababisha kupotea kwa amani, arudi kwao akafanye shughuli za uvuvi aku akajishughulishe na miradi ya utalii?Mawese yanalipa akalime tu aachane na siasa.
Msengerema wewMbona majeraha sio mabichi jana tu....si walisema mahututi lakini sura imenawiri tu drama nyingi.
Wacha kabisaWendawazimu wapo wengi wa kusema mama anaupiga mwingi.
Serikali ikishindwa kuwahakikishia usalama wananchi wake au yenyewe ikashiriki kuhatarisha usalama wa wananchi maana yake serikali hiyo imefeli na Rais amefeli.
Samia is failure president, na kumbukumbu zote siku za mbeleni zitaonesha hivyo.
Mkuu,Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Ulikua umekufa sasa umefufuka kuja tu kuchuma Laana !!Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Duh walimchoma na pasi mgongoni?Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Ni kweli. Kundi la Mbonera Kule ilikuwa likitumika na watawala wa Burundi kudhuru wapinzani, lkn mwisho wa siku likawa tishio. Ndiyo maana limeunganishwa na chama tawala CNDD-FDD kwa sasa kinaitwa. .....CNDD-FDD-MBONERA KULEUzuri wa haya magenge yanayofanya uhuni huu yanakuwaga kama mbwa kichaa kuna siku yatamdhuru hadi mmiliki
Wamekosea ehee?Kwa masaa machache tu wamemfinya hivyo ingelikuwa siku 2 au 3 sijui angelikuwa kwenye hali gani!
Na kwa namna ya hicho kipigo inaonekana wamempa onyo! Yaani kipigo cha onyo!
ππ
Usiwe na ghadhabu! Usiwe na ghadhabu!Wamekosea ehee?
Walitakiwa wamuue kabisa
Umemuona nondo ana makovu ya tangu mwaka juzi?ππ