Picha za dada na mchepuko wake zimenivuruga

Duh mkuu kesho ntaamka nae
 
Wewe ni mtu wa hovyo hajawahi kutokea, umeona raha kuona uchi wa dada yako! Na bado unamuita dada yako! Unaona sifa kutuambia umefanikiwa kuuona uchi wa dada yako! Na ulaaniwe daima milele na milele.
 
Ndivyo unavyojidanganya na kujifariji kwamba single parents hata akiwa na hela wana challenges money can't buy? Aisee kweli ujinga bado ni tatizo kubwa sana Tanzania.
 
Kuepuka mfadhaiko, usishike simu ya mtu.
 
Ushauri mzuri ni kwamba wala usimwambie dada ako ni mtu mzima.......kumbuka alipitiwa tu na shit happens.......hata wewe hujakamilika.
 
yasiyokuhusu yasikushughulishe,na simu ukipewa fanya kile kitu ulichoiombea simu,usifanye zaidi ya hicho
 
Zama zimebadilika, Kuwa na mchepuko zama hizi ni kwenda na wakati. ni fasheni kwa wanaume na wanawake.

Je umewahi sikia kampeni ya kataa ndoa?
 
Achana na dada yako yeye ni mtu mzima na ana uhuru wake kama ulivyo wewe. Pia wewe umefanya makosa makubwa kupekua simu ya dada yako sidhani kama na wewe ungefurahi kuona yeye anapekua simu yako!
 
Tafuta mazingira tulivu na rafiki anayoyapenda MCHANE LAIVU HAPO HAPO.

Muambie una haki ya kukasirika maana "Mchuma janga hula na wa kwao".

Vinginevyo subiri ya Penina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…