UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Kuakinoleji uzuri wa mwanamke siyo kumtamani bwasheeImeandikwa,"usitamani mwanamke asiye mke wako"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuakinoleji uzuri wa mwanamke siyo kumtamani bwasheeImeandikwa,"usitamani mwanamke asiye mke wako"
Umeonyesha upumbavu wako,Wewe, you are among the people who can not think!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anatoka katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI wa Morocco) uliopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuswali Sala ya Eid El-Fitri tarehe 22 Aprili, 2023.
View attachment 2595954
View attachment 2595955
View attachment 2595956
Amependeza. Sema Samia hua ni pisi kali
Zitasaidia sana Kuimarisha Uchumi wa Nchi na kupunguza idadi ya Wapumbavu na Wagonjwa wa Akili kama wapo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anatoka katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI wa Morocco) uliopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuswali Sala ya Eid El-Fitri tarehe 22 Aprili, 2023.
View attachment 2595954
View attachment 2595955
View attachment 2595956