fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
MAma kapendeza aisee❤️❤️❤️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nime-imagine kaenda kuswali kaacha viatu nje, mtu akapita navyo, sijui itakuajeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anatoka katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI wa Morocco) uliopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuswali Sala ya Eid El-Fitri tarehe 22 Aprili, 2023.
View attachment 2595954
View attachment 2595955
View attachment 2595956
Amependeza. Sema Samia hua ni pisi kali
Pia imeandikwa "yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani anakuwa ameshazini naye"Imeandikwa,"usitamani mwanamke asiye mke wako"
Ukiangalia mfano picha ya kwanza na ya tatu utaona kina mama hawana time na rais. Hakuna hata anayetaka kupeana nae walau mkoni kutakiana eid njema.
Maana yake ni hali halisi waliyo nayo watanzania kwa sasa. Watu wameenda kuswali kutimiza wajibu wa kiislam ila wakati yeye anafurahia kwenda kula pilau kuna wengine mpaka sasa wanasubiri salio liingie wakanunue mchele wawapikie watoto chakula.
Hali ngumu na vyakula vipo juu na katika hili wanaoumia ni kina mama.
Hivi mkuu hao wadada wanaweza kugonga ngumi sawa sawa ukisema upange nao mkono ile ki kweli kweli?Naona kazungukwa na wagonga ngumi waliojivika ushungi
SidhaniHao waliomzunguka hapo wameweka bastola kwenye hayo mabuibui... waone tu hivo..[emoji3]
Unakuta wana chuma wameficha kwa ndani.Naona kazungukwa na wagonga ngumi waliojivika ushungi
Kwani Eid ilopita alivaa ipi??Hajarudia kiremba
Na masikioni wana vinyaya... Usiwaone hivyo!Sidhani
Hivyo viatu ni Tanzanian brand au unataka kusemaje??Hata mkewangu anavyo alinunua mtaa wa Kongo shs 9,500/=, buy Tanzanian serikali ipate kodi.
Radio calls ni lazima wawe nazo, sio ombiNa masikioni wana vinyaya... Usiwaone hivyo!
Wewe huyo ni Bibi yako sio Pisi kaliAmependeza. Sema Samia hua ni pisi kali
AmedamshidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anatoka katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI wa Morocco) uliopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuswali Sala ya Eid El-Fitri tarehe 22 Aprili, 2023.
View attachment 2595954
View attachment 2595955
View attachment 2595956
Usithubutu mzee,mtu kasomeshwa ngumi na serikali miaka mitano nchi mbalimbali...Ila akiwa manzi yako anakukatia kiuno Kama siyo yeye!!Hivi mkuu hao wadada wanaweza kugonga ngumi sawa sawa ukisema upange nao mkono ile ki kweli kweli?