Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,098
- 3,038
.Hata mkewangu anavyo alinunua mtaa wa Kongo shs 9,500/=, buy Tanzanian serikali ipate kodi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Hata mkewangu anavyo alinunua mtaa wa Kongo shs 9,500/=, buy Tanzanian serikali ipate kodi.
Takhbiiiiirrrr !!!Imeandikwa,"usitamani mwanamke asiye mke wako"
Bi mkubwa nakuelewaga sana kazi zaki FANYA JAMBO MEIMOSIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anatoka katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI wa Morocco) uliopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuswali Sala ya Eid El-Fitri tarehe 22 Aprili, 2023.
View attachment 2595954
View attachment 2595955
View attachment 2595956
Hata Mimi macho yameishia kwenye kiatu chake ,kizuri saana,kikempendeza kweli kweli!!amependeza sana nimependa viatu vyake vyeupe
Et ni pisi Kali..Amependeza. Sema Samia hua ni pisi kali
hahah hongera bana mkeo anavaliana na raisHata mkewangu anavyo alinunua mtaa wa Kongo shs 9,500/=, buy Tanzanian serikali ipate kodi.
Wanaotengeneza hawatengenezi pea moja tu.hahah hongera bana mkeo anavaliana na rais
Nilikuwa najiuliza wale wadada makauzu wako wapi? Hapo sijawaona bhana...Naona kazungukwa na wagonga ngumi waliojivika ushungi
Leo ni Siku Kuu huyo shetani mtie mfukoni hana nafasi. Achana nae anakujaza hisia mbaya. #Eid Mubarak.🙏🙏🙏Ukiangalia mfano picha ya kwanza na ya tatu utaona kina mama hawana time na rais. Hakuna hata anayetaka kupeana nae walau mkoni kutakiana eid njema.
Maana yake ni hali halisi waliyo nayo watanzania kwa sasa. Watu wameenda kuswali kutimiza wajibu wa kiislam ila wakati yeye anafurahia kwenda kula pilau kuna wengine mpaka sasa wanasubiri salio liingie wakanunue mchele wawapikie watoto chakula.
Hali ngumu na vyakula vipo juu na katika hili wanaoumia ni kina mama.
Na wao mafisadi pia wanamsifia sifia kuwa kapendeza huku wakiiba matrilioni ya tozo.Kapendeza ila mpole sana apambane na mafisadi wanaomzunguka
Zimefanyaje Sasa sijaelewaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anatoka katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI wa Morocco) uliopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuswali Sala ya Eid El-Fitri tarehe 22 Aprili, 2023.
View attachment 2595954
View attachment 2595955
View attachment 2595956
Kwa sababu rais ameswali Eid?Sukuma Gang wanaumia sana