Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu hawakutaka awe Rais.Kwa sababu rais ameswali Eid?
You mean sukuma gang. Right? Manake wana hasira na mama hao hadi basi.Ngoja ije ila team ya Pingapinga FC
Imeandikwa wapi? Na nani?Imeandikwa,"usitamani mwanamke asiye mke wako"
You mean sukuma gang. Right? Manake wana hasira na mama hao hadi basi.Ngoja ije ila team ya Pingapinga FC
Pengine walishapeana.Ukiangalia mfano picha ya kwanza na ya tatu utaona kina mama hawana time na rais. Hakuna hata anayetaka kupeana nae walau mkoni kutakiana eid njema.
Waislam hua wanapeana mikono baada ya sala msikitini. Mkitoka nje kila mmoja na njia yakeUkiangalia mfano picha ya kwanza na ya tatu utaona kina mama hawana time na rais. Hakuna hata anayetaka kupeana nae walau mkoni kutakiana eid njema.
We malizaMmeanzaa
Sijaumbwa kutamani mke wa mtuWe maliza
Wapi nimemtamani?Imeandikwa,"usitamani mwanamke asiye mke wako"
Moyoni mwakoWapi nimemtamani?
Ghubu utakuua wewe kengeUkiangalia mfano picha ya kwanza na ya tatu utaona kina mama hawana time na rais. Hakuna hata anayetaka kupeana nae walau mkoni kutakiana eid njema.
Maana yake ni hali halisi waliyo nayo watanzania kwa sasa. Watu wameenda kuswali kutimiza wajibu wa kiislam ila wakati yeye anafurahia kwenda kula pilau kuna wengine mpaka sasa wanasubiri salio liingie wakanunue mchele wawapikie watoto chakula.
Hali ngumu na vyakula vipo juu na katika hili wanaoumia ni kina mama.
Dah hadi moyoni unapaona!Moyoni mwako
Kama ulikuwa hujui nikuambie tu kuwa ndivyo ilivyoDah hadi moyoni unapaona!
SawaKama ulikuwa hujui nikuambie tu kuwa ndivyo ilivyo
Shika adabu yako wewe.Amependeza. Sema Samia hua ni pisi kali
Kwani kila siku?Hajarudia kiremba
Safiiii sanaInapendeza Masha Allah.
Balaa unaitafuta mwenyewe...Hajapendeza lolote, sura imempooza kama pilau lilokosa nyama.