Picha za wakuu wa JWTZ tokea Tanzania ilipopata uhuru wake

Picha za wakuu wa JWTZ tokea Tanzania ilipopata uhuru wake

HR anaongozaje !?

Gen. Kiwelu ni mpambanaji mkuu, ulizia kipindi cha choko choko za Msumbiji na FRELIMO yao kipindi Gen. Kiwelu anaongoza batallion ya Mtwara!

Kuwa HR kipindi ya Vita ya nduli si kwamba alikuwa bench, unadhimu katika jeshi si kama ofisini ndugu! Lazima ahakikishe strategia,supply,intel na movement(logistics)iko kwenye high standard na morale ya wapambanaji pia!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Ally Kombo,
Kiwelu aliongoza operation ya kumuondoa Amin ktk ardhi ya Tanzania. Yeye ndiye alikuwa mpiganishaji mkuu.
Baada ya ushindi huo Musiguri akapewa jukumu la kuongoza majeshi yetu ktk mapigano ndani ya Uganda. Kiwelu alirejea ktk nafasi yake ya mnadhimu mkuu.
Pia Kiwelu ameweka historia ya kutumikia nafasi ya chief of staff mara mbili. Mara ya kwanza chini ya Lt.Gen. Abdalah Twalipo, na mara ya pili na Gen.Mwita Kiaro. Kwa maana hiyo aliaminiwa na Raisi Nyerere, pamoja na Raisi Mwinyi.
Vilevile Kiwelu ndiye Mtanzania pekee aliyetunukiwa ngazi ya Generali bila kushika nafasi ya Mkuu wa Majeshi/cdf.
Mwisho, Gen.Kiwelu alipata kuteuliwa na raisi Mkapa kuwa balozi wetu Ufaransa. Echolima
 
Last edited by a moderator:
Gen. Kiwelu ni mpambanaji mkuu, ulizia kipindi cha choko choko za Msumbiji na FRELIMO yao kipindi Gen. Kiwelu anaongoza batallion ya Mtwara!

Kuwa HR kipindi ya Vita ya nduli si kwamba alikuwa bench, unadhimu katika jeshi si kama ofisini ndugu! Lazima ahakikishe strategia,supply,intel na movement(logistics)iko kwenye high standard na morale ya wapambanaji pia!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums

.........cha kushangaza ni pale unapo mu under rate mkuu wa majeshi !..........hata mwamunyange na (brigadier gen mmoja hivi jina limenitoa- amekuwa waziri na mbunge Korogwe au Lushoto- Hassan Ngwilizi ndio alikuwa kiongozi wa akina Mwamunyange hapo Msumbiji !) wamepigana msumbiji
 
Ally Kombo,
Kiwelu aliongoza operation ya kumuondoa Amin ktk ardhi ya Tanzania. Yeye ndiye alikuwa mpiganishaji mkuu.
Baada ya ushindi huo Musiguri akapewa jukumu la kuongoza majeshi yetu ktk mapigano ndani ya Uganda. Kiwelu alirejea ktk nafasi yake ya mnadhimu mkuu.
Pia Kiwelu ameweka historia ya kutumikia nafasi ya chief of staff mara mbili. Mara ya kwanza chini ya Lt.Gen. Abdalah Twalipo, na mara ya pili na Gen.Mwita Kiaro. Kwa maana hiyo aliaminiwa na Raisi Nyerere, pamoja na Raisi Mwinyi.
Vilevile Kiwelu ndiye Mtanzania pekee aliyetunukiwa ngazi ya Generali bila kushika nafasi ya Mkuu wa Majeshi/cdf.
Mwisho, Gen.Kiwelu alipata kuteuliwa na raisi Mkapa kuwa balozi wetu Ufaransa. Echolima

Majukumu hayo alipewa na C in C na CDF !
 
Picha za wakuu wa jwtz tokea tanzania ilipopata uhuru wake

attachment.php



attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


I love and admire these guys, always wished I were one of them! Huyo Twalipo (1974-1980) ndiye aliyetembeza mkong'oto mwaka 1978 na hao wenzake akina Msuguri, Marwa, Mayunga, etc. The team was really crazy, acha kabisa!
 
Sarakikya - Arusha
Twalipo - Mtwara? sina uhakika
Musuguri - Mara
Kiaro - Mara
Mboma - Mbeya
Waitara - Mara
Mwamunyange - Mbeya

Next - ???
 
kuna mmoja kati ya hao alimuita commissioner mkuu wa tra ikulu halafu akatumia ofici ya mheshimiwa sana. Na alipofika jamaa akajidai hamjui huyo commissioner akaanza kumuuliza we ndo nani, mara kazi yako nini? Basi nenda, kesho yake mzigo wa huyo mkuu wa majeshi ukaachiwa ulikua umezuiliwa kisa kodi. Jamaa alikua kakunja ndita halafu raisi hakuwepo alikua amesafiri nje ya nchi. Tena nadhani yule jamaa alipatwa na kiharusi (commissioner wa tra)



wawili kati ya hao walivimbishiana na mabosi wao (wakuu wa kaya) na baadhi ya migogoro ilimalizwa na mwalimu, mdo mwalimu akachomekea ile ya kusema hatutaki mtu analala na mke wake kesho yake anaongoza nchi kwa mawazo ya mke wake

huwa nafurahishwa sana na hawa jamaa,wana aina fulani ya ubabe (wa akili) na confidence za kutukuka.hawa wawili wa mwisho.they are not really soldriers wana sura za kikarani.
 
It is very interesting to know this. Lakini kwa hii knowledge yangu ndogo sana yakusoma stories mbali mbali naweza kupima umakini wa mleta huu uzi. Ipo siku atapiga picha document nyeti nakuiweka JF. Pia Sidhani wakubwa wote wanapenda kuwekwa kwenye hii mitandao ya kijamii. Unajua ni kwanini!!? Unatoa nafasi yakujadili mambo mengine yasiyostahili kujadiliwa humu hasa unapogusa vyombo na individual figures za intelligence and Defence.
 
VOICE OF MTWARA,
Brig.Hassan Ngwilizi aliongoza vikosi vya Tz vilivyokwenda Msumbiji "operation safisha" na Seychelles "operation mahe".

Kuna mwana JF amepata kuandika kwamba Lt.Gen.Abdulrahmani Shimbo alikuwa miongoni mwa askari wa Tz waliotumikia Seychelles. Pia hivi majuzi Raisi alitoa nishani za "operation safisha" ya Msumbiji na Lt.Gen.Mwakalindile, Lt.Gen.Ndomba, pamoja na Brig.Gen.Hassan Ngwilizi, walikuwa miongoni mwa askari waliotunukiwa nishani hiyo.

Kitabu cha "war in uganda" kinaeleza kuhusu kikosi cha jwtz kilichokuwa mpakani mwa Msumbiji na rhodesia/zimbabwe btn 1975 na 78. Kikosi hicho kilirejeshwa Tz wakati vita ya Kagera ilipoanza.

Pia Ndani kitabu hicho kuna habari za askari wa tanzania waliopata mafunzo northern vietnam!!

Historia ya majeshi yetu inapaswa kuwekwa wazi haswa kwa vijana ili kuwajengea mwamko wa uzalendo kwa taifa lao.

Majuzi taifa limepatwa na msiba mzito wa kuondokewa na makamanda, Maj.Gen.Muhidin Kimario, Maj.Gen.Lupogo, na Maj.Gen.Makunda, ambao waliongoza vita vya Kagera/Uganda.
 
Last edited by a moderator:
huwa nafurahishwa sana na hawa jamaa,wana aina fulani ya ubabe (wa akili) na confidence za kutukuka.hawa wawili wa mwisho.they are not really soldriers wana sura za kikarani.



Huu utani sasa mkuu.

Sent from my radio
 
hivi kunaichi ilipata uhuru inaitwa Tanzania..
 
Zanzibar wapi? Hata illustrious sons of Zanzibar , military accomplished Cuba trained comrades walitengwa then? Muungano una kasoro.
 
Back
Top Bottom