Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Kumbe wa juzi - dotcom
Haaaaaa mie wa kitambo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wa juzi - dotcom
Sarakikya - Arusha
Twalipo - Mtwara? sina uhakika
Musuguri - Mara
Kiaro - Mara
Mboma - Mbeya
Waitara - Mara
Mwamunyange - Mbeya
Next - ???
VOICE OF MTWARA,
Brig.Hassan Ngwilizi aliongoza vikosi vya Tz vilivyokwenda Msumbiji "operation safisha" na Seychelles "operation mahe".
Kuna mwana JF amepata kuandika kwamba Lt.Gen.Abdulrahmani Shimbo alikuwa miongoni mwa askari wa Tz waliotumikia Seychelles. Pia hivi majuzi Raisi alitoa nishani za "operation safisha" ya Msumbiji na Lt.Gen.Mwakalindile, Lt.Gen.Ndomba, pamoja na Brig.Gen.Hassan Ngwilizi, walikuwa miongoni mwa askari waliotunukiwa nishani hiyo.
Kitabu cha "war in uganda" kinaeleza kuhusu kikosi cha jwtz kilichokuwa mpakani mwa Msumbiji na rhodesia/zimbabwe btn 1975 na 78. Kikosi hicho kilirejeshwa Tz wakati vita ya Kagera ilipoanza.
Pia Ndani kitabu hicho kuna habari za askari wa tanzania waliopata mafunzo northern vietnam!!
Historia ya majeshi yetu inapaswa kuwekwa wazi haswa kwa vijana ili kuwajengea mwamko wa uzalendo kwa taifa lao.
Majuzi taifa limepatwa na msiba mzito wa kuondokewa na makamanda, Maj.Gen.Muhidin Kimario, Maj.Gen.Lupogo, na Maj.Gen.Makunda, ambao waliongoza vita vya Kagera/Uganda.
Picha za wakuu wa jwtz tokea tanzania ilipopata uhuru wake
Sarakikya - Arusha
Twalipo - Mtwara? sina uhakika
Musuguri - Mara
Kiaro - Mara
Mboma - Mbeya
Waitara - Mara
Mwamunyange - Mbeya
Next - ???
Twalipo ndo alikuwa mkuu wa majeshi kipindi cha vita ya kagera na sio msuguri kama unavyodai
Kwann wana A. S. P, historia inawasuta?
Hivi duniani nchi gani ishawahi kuwa na mkuu wa majeshi mwanamke???
Hiyo haitokei leo, ndiyo maana jeshini hakunaga yes Madam, only yes Sir.
Ally Kombo,
Kiwelu aliongoza operation ya kumuondoa Amin ktk ardhi ya Tanzania. Yeye ndiye alikuwa mpiganishaji mkuu.
Baada ya ushindi huo Musiguri akapewa jukumu la kuongoza majeshi yetu ktk mapigano ndani ya Uganda. Kiwelu alirejea ktk nafasi yake ya mnadhimu mkuu.
Pia Kiwelu ameweka historia ya kutumikia nafasi ya chief of staff mara mbili. Mara ya kwanza chini ya Lt.Gen. Abdalah Twalipo, na mara ya pili na Gen.Mwita Kiaro. Kwa maana hiyo aliaminiwa na Raisi Nyerere, pamoja na Raisi Mwinyi.
Vilevile Kiwelu ndiye Mtanzania pekee aliyetunukiwa ngazi ya Generali bila kushika nafasi ya Mkuu wa Majeshi/cdf.
Mwisho, Gen.Kiwelu alipata kuteuliwa na raisi Mkapa kuwa balozi wetu Ufaransa. Echolima
Miaka yetu hiyo ya Gezaulole tulikuwa tunatranslate JWTZ kama Jeshi la Wakurya Tangu Zamani. LOL!Ni ukurya tu...si unajua tena nyerere aliwakabidhi wakurya jeshi?
Twalipo ni Ruvuma
Twalipo limekaa kama wale wale wa Mbeya?
Ubaguzi shida. Too light skinned.
Hv ndo huyohuyo alikuwa mkuu wa mkoa wa Kagera?