mbona gen tibaigana hajawekwa??
Sarakikya - Arusha
Twalipo - Mtwara? sina uhakika
Musuguri - Mara
Kiaro - Mara
Mboma - Mbeya
Waitara - Mara
Mwamunyange - Mbeya
Next - ???
Picha za wakuu wa jwtz tokea tanzania ilipopata uhuru wake
sarakikya alistaafu akiwa na miaka mingapi?maana ni yapata miaka 40.alistaafu na pension ya 50,000.mpaka hv karibuni namsikia akipanda mlima kilimanjaro.
sipati picha siku Tanzania tukijapata mkuu wa majeshi (CFD ) "M.KWE.RE" ,
Sarakikya - Arusha
Twalipo - Mtwara? sina uhakika
Musuguri - Mara
Kiaro - Mara
Mboma - Mbeya
Waitara - Mara
Mwamunyange - Mbeya
Next - ???
Hapana, nimeambiwa ni Ruvuma. Ni Abdallah Twalipo
Next Katavi
Katavi anastafu mwakani tu
Kwa hiyo ni luteni general yupi kwa sasa anaenda kukabidhiwa kijiti? Mwamunyange nafikiri mwakani mapema nae anakabidhi kijiti.