Uchaguzi 2020 Piga kura yako kwa mtoto wa mjini Masalu Jacob (Jimbo la Nyamagana)

Uchaguzi 2020 Piga kura yako kwa mtoto wa mjini Masalu Jacob (Jimbo la Nyamagana)

CV ipi brother maana ubunge (siasa) sio nafasi ya kazi.

Naomba unieleweshe tafadhali!
Bungeni wamo wanaojua kusoma na kuandika tu lakini wenye msaada na matumizi ni wale wenye shule ya maana. Ukitaka Mbunge wa mikongo na komedi ingiza huyo anayeitwa mtoto wa mjini, wenzako wataingiza wanaoweza kupanga mambo ya nchi.

Nikushauri. Tuombe msaada wa mawazo na hapo tutaanza kukuliza sifa zako. Mambo ya kusema unajulikana, hapa ni nyumbani, mji nauelewa, na bhla! bhla! kibao haisaidii siasa za leo. Mji kama wa mWanza haustahili tena kutafuta mtu anayeitwa mtoto wa mjini. Hata Meya alistahili apatikane mtu anayeweza kukaa meza moja na waziri au waziri mkuu wakapeana challenges. Kama sifa hazitoshi mimi sitasita kukueleza urudi shuleni.
 
Bungeni wamo wanaojua kusoma na kuandika tu lakini wenye msaada na matumizi ni wale wenye shule ya maana. Ukitaka Mbunge wa mikongo na komedi ingiza huyo anayeitwa mtoto wa mjini, wenzako wataingiza wanaoweza kupanga mambo ya nchi.

Nikushauri. Tuombe msaada wa mawazo na hapo tutaanza kukuliza sifa zako. Mambo ya kusema unajulikana, hapa ni nyumbani, mji nauelewa, na bhla! bhla! kibao haisaidii siasa za leo. Mji kama wa mWanza haustahili tena kutafuta mtu anayeitwa mtoto wa mjini. Hata Meya alistahili apatikane mtu anayeweza kukaa meza moja na waziri au waziri mkuu wakapeana challenges. Kama sifa hazitoshi mimi sitasita kukueleza urudi shuleni.
Brother nina elimu ya kutosha kwa kusaidia jimbo la Nyamagana Mwanza. Pili mimi naifahamu vema siasa ya Mwanza na Tanzania kwa ujumla.

Usiogope brother. Mimi kuwa mtoto wa mjini inamaana sana na endapo chama changu kikinipitisha kukiwakilisha hakuna atakayenishinda Nyamagana.

Karibu Nyamagana tuijenge pamoja.
 
Brother nina elimu ya kutosha kwa kusaidia jimbo la Nyamagana Mwanza. Pili mimi naifahamu vema siasa ya Mwanza na Tanzania kwa ujumla.

Usiogope brother. Mimi kuwa mtoto wa mjini inamaana sana na endapo chama changu kikinipitisha kukiwakilisha hakuna atakayenishinda Nyamagana.

Karibu Nyamagana tuijenge pamoja.
Baada ya hayo naomba uelewe kwamba Chama chochote utakachokitumia kuingia Bungeni, leo hii hakuna siasa za mtoto wa mjini labda kile kinachosema kazi na bata. Siasa za watu wa mizaha zimekwisha. Nasema hayo nikimaanisha kwamba uchaguzi wako wa neno 'mtoto wa mjini' ni kosa la kwanza kwa siasa za nchi sasa hivi. HIyo nailinganisha na unenguaji wa waziri aliyetumbuliwa. Alichekewa lakini kumbe utawala hauoni kama huo ni mtaji.

Tumeingia siasa za busara, na siyo za mizaha na kusifia kujua kuvaa.
 
Baada ya hayo naomba uelewe kwamba Chama chochote utakachokitumia kuingia Bungeni, leo hii hakuna siasa za mtoto wa mjini labda kile kinachosema kazi na bata. Siasa za watu wa mizaha zimekwisha. Nasema hayo nikimaanisha kwamba uchaguzi wako wa neno 'mtoto wa mjini' ni kosa la kwanza kwa siasa za nchi sasa hivi. HIyo nailinganisha na unenguaji wa waziri aliyetumbuliwa. Alichekewa lakini kumbe utawala hauoni kama huo ni mtaji.

Tumeingia siasa za busara, na siyo za mizaha na kusifia kujua kuvaa.
Unahisi nina mzaha brother? utakuwa unakosea sana. Mimi ni kijana mtaratibu na mwenye heshima sana.

Ndio maana naifahamu siasa brother. Hutajuta siku ukinifahamu na ukajua nilishaifanyia nini taifa unaweza niamini.
 
Back
Top Bottom