Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.
Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.
Si ndo hapo sasa.. UPUUZI tuNa kanisa wasiposhiriki kwenye shughuli za mazishi, Marehemu anapungukiwa nini?
Dini ni muhimu kuliko Mungu??Hili ni funzo kwamba tusithubutu kushirikiana na shetani
Hujui dini wewe
Ni ubabaishaji tu!😕Si inasemekana kama Jumuiya haikutambui, huduma za Kikanisa hupati?
Mathew 7:1-5Si wanasemaga anaehukumu ni Mungu tu?
Somewhat, yes.je na waliopinga tamko la papa lubariki mashoga nao wameasi?
Kama umo kwenye dhehebu la Wakatoliki, Ndio. Unaweza kutengwa.Hili swali ebu lipate majibu, maana ni maaskofu kabisa walipinga waraka wa papa kubariki mashoga, je wametengwa au wameachwa?
Baeleze baelezeke.Kazikwa au Hajazikwa?
HIZI DINI ZILISHAJIMILIKISHA MBINGU KAMA YAO
Yawezekana Mwamposa ana Kanisa na dhehebu lake tofauti na Makanisa makuu yanayojulikana.Mwamposa alishasema;wakikataa kumzika mtu mpigieni simu chap fuso tano zimejaa wachungaji zinatumwa kuja kuzika.
Ukitaka kujua ukuu wa Binadamu ndio huu.Mambo ya Imani...
Very complicated.....
Kwa hiyo ule usemi kilichofungiwa duniani, na mbinguni kitafungiwa.....
Upo applicable? Unapatikana kitabu gani..?
Tukumbushane jamani.
Shida iko wapi?Hapa ndio dini yangu huwa inanichosha kabisa!
Hata wakatae kumsalia, what difference does it make to a dead man?🧟♂️ AbsoFREAKINGlutely NONE!!!!
Nao ni Miungu. Hivi bado hujalijua Kanisa katoliki. Kama mtu anaweza kukufutia dhambi, unadhani ni binadamu huyo..Kwani wao ndo wenye uamuzi wa nani aingie mbinguni au hapana. Wanaona jamaa mchochezi kama TL alivyokuwa anasakamwa? Waache utoto
Ukisha waza malaya 40 na mito ya pombe unakuwa.mwehu .kwan wanaosema waislamu ni wafuga majini ni kweli ? Tusio kama ww tukiskia unamuulixa muislamu .ndo maana najua si kwel hiyo ni shirk na anaefuga au hata kuongea nayo sio muislamu ni mchawi kama wengine.na sheikh yahya alikuwa hadi imamu ila sisi wskristo tusio na nia ovu tunajua hakua muislamu ni mchawi tu.ndivo ilivo juu ya papa .hulka kuu ya muhamad alikuwa mpole na asiekurupuka anahoji ungeniuliza mm nkuelezee usinge ongea hizo kauli .tamko rasmi la vatikani ni kuws ushoga ni kinyume na mafundisho makuu ya kanisa .na papa hana mamlaka kuyagusaUnakubali ushoga lazima usilione tamko la papa ili mbarikiwe. Tunaopinga tunaliona hilo tamko