Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

Ujinga tu huo wa hao viongozi wa kanisa katoliki kususia maiti, mtu akifa ndio ashakufa...
 
Si wanasemaga anaehukumu ni Mungu tu?
Mathew 7:1-5
Kifungu hiki kinasisitiza unyenyekevu, kujitambua, na kuepuka unafiki wakati wa kutathmini wengine. Inatukumbusha kwamba hukumu zetu zinapaswa kuzingatia huruma na self reflection.

Miviga umeibua hoja inayostahili kuzingatiwa. Hata hivyo Kanisa la kikatoliki inafuatia sheria yake hii.


Canon law (CIC 1983, Can. 1184) specifies that funeral rites may be denied to those who have chosen actions contrary to the Christian faith.
 
Hili swali ebu lipate majibu, maana ni maaskofu kabisa walipinga waraka wa papa kubariki mashoga, je wametengwa au wameachwa?
Kama umo kwenye dhehebu la Wakatoliki, Ndio. Unaweza kutengwa.

Walakini inategemea nguvu na njia ulizotumia kupinga Waraka wake.
 
Mwamposa alishasema;wakikataa kumzika mtu mpigieni simu chap fuso tano zimejaa wachungaji zinatumwa kuja kuzika.
Yawezekana Mwamposa ana Kanisa na dhehebu lake tofauti na Makanisa makuu yanayojulikana.
 
Mambo ya Imani...
Very complicated.....
Kwa hiyo ule usemi kilichofungiwa duniani, na mbinguni kitafungiwa.....
Upo applicable? Unapatikana kitabu gani..?
Tukumbushane jamani.
Ukitaka kujua ukuu wa Binadamu ndio huu.

Thadei Ole Mushi ataacha alama kubwa sana Tanzania kama sio Duniani.
20240204_131940-jpg.2893962


Yametokea mambo mengi sana kutoka kwenye maandishi yake, matendo yake, kuugua kwake, kufa kwake na sasa Kuzikwa kwake. HII sio Kawaida.

Ukuu wake ndio huu unaanikwa.

Binafsi inafundisha kufuata yale mtu unayo yaamini bila ya kuyumba na uyafuate na conviction et zèle
 
Hapa ndio dini yangu huwa inanichosha kabisa!

Hata wakatae kumsalia, what difference does it make to a dead man?🧟‍♂️ AbsoFREAKINGlutely NONE!!!!
Shida iko wapi?
Yeye hakua mwenzao, basi na wao sio Wenzake. Siwezi kujikaribisha kwako wakati wewe ulinitenga.

Yaani hunitaki nami sikutaki, full stop. Itasaidia nini au kubadilisha nini hiyo tutajuana mbele ya safari.
 
Kanisa katoliki wanaheshimu uhuru wa kuabudu. Ni kina Mwamposa tu hata kama ulikuwa Al Shabaab ukifa ndugu zako wakamuita anakuzika kwa taratibu zake za Yesu. Katoliki haiziki mtu kama haina uhakika ni muumini wao wakati anakufa, hata kama ulikuwa muumini wao wa zamani.

Katoliki haina kiherehere kwa wafu, ukifa hujulikani msimamo wako wa imani haikulazimishi ukiwa umekufa. What if ulichagua dhehebu au imani nyingine?

Kuna classmate wangu alifariki, mama yake ni Mkristo na baba dini XXX. Alipofariki yule jamaa mtu aliyekuwa around ni baba yake, akadictate azikwe kwa taratibu za XXX wakati jamaa mwenyewe aliishakana dini tangu mdogo na kubatizwa na kubadili jina kabisa hata la baba hatumii.
Sababu alikufa kwa ajari, documents za polisi zikaja na majina mawili tofauti. Ikabidi kuwepo kikao cha kujadili anazikwa dini gani. Ingekuwa katoliki pale kusingekuwepo mjadala, inatafutwa rekodi ya kujihusisha na kanisa, kama haupo active basi sio muumini.
 
Unakubali ushoga lazima usilione tamko la papa ili mbarikiwe. Tunaopinga tunaliona hilo tamko
Ukisha waza malaya 40 na mito ya pombe unakuwa.mwehu .kwan wanaosema waislamu ni wafuga majini ni kweli ? Tusio kama ww tukiskia unamuulixa muislamu .ndo maana najua si kwel hiyo ni shirk na anaefuga au hata kuongea nayo sio muislamu ni mchawi kama wengine.na sheikh yahya alikuwa hadi imamu ila sisi wskristo tusio na nia ovu tunajua hakua muislamu ni mchawi tu.ndivo ilivo juu ya papa .hulka kuu ya muhamad alikuwa mpole na asiekurupuka anahoji ungeniuliza mm nkuelezee usinge ongea hizo kauli .tamko rasmi la vatikani ni kuws ushoga ni kinyume na mafundisho makuu ya kanisa .na papa hana mamlaka kuyagusa
 
Back
Top Bottom