Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Janga la taifa ilo 😂Mim kupika najua ila issue ipo kwenye kuosha vyombo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Janga la taifa ilo 😂Mim kupika najua ila issue ipo kwenye kuosha vyombo,
Mzee???? Hahahahahah wewe ni mtu wa viwanja Bado unakula ujana na mwenzako Poor BrainNajua sana ila kutokana na uzee, vijana ndio wanajipikilisha
Wanawake tuwape heshima yao aisee imagine mwanaume unajidamka unaanza usafiri wa ndani mara nguo zimechafuka unawaza usafi badala ya kuwaza mikakati ya helaJanga la taifa ilo 😂
Sawa bossHongera kwa kupika mkuu maana wengine tukipika hiyo pilau mtu anaweza dhani tumejifunzia yutyubu..
Intelligent businessman ukinikaribisha kula tikiti. Pilau sharti liwe na mchuzi maana wengine tumezoeshwa mboga ni rosti 😁😁
mkuu labda niwe kwetu, au nita fute mrembo Kama wa Zulu man aje apike😁😁.Hongera kwa kupika mkuu maana wengine tukipika hiyo pilau mtu anaweza dhani tumejifunzia yutyubu..
Intelligent businessman ukinikaribisha kula tikiti. Pilau sharti liwe na mchuzi maana wengine tumezoeshwa mboga ni rosti 😁😁
Si unaenda kutafuta pesa u azani ukikosa pesa atakuelew ata ngua utakuta chafu kisingizio hakuna sabuniWanawake tuwape heshima yao aisee imagine mwanaume unajidamka unaanza usafiri wa ndani mara nguo zimechafuka unawaza usafi badala ya kuwaza mikakati ya hela
Mjukuu kapumzikaBabu nakihotipot chako hapa mtume mjukuu basi
Hapo nazungumzia maisha ya ubachala yalivyoSi unaenda kutafuta pesa u azani ukikosa pesa atakuelew ata ngua utakuta chafu kisingizio hakuna sabuni
Naleta posaNdio pilau
Wakati mwingine uzee ni ugonjwa kama hutochanganyikana na vijana; kwa hiyo ni vizuri kuosha macho hapa na pale katika kufurahia uumbaji wa dunia pamoja na maua yake.Mzee???? Hahahahahah wewe ni mtu wa viwanja Bado unakula ujana na mwenzako Poor Brain
Kabisa ndio ivyo mim uwa nafua jioniHapo nazungumzia maisha ya ubachala yalivyo
Acha madharau basiNaleta posa
Mimi ni mvivu sana kwenye hizo secta. Peke yangu sijiwezi kabisa sijui ni uchafu au vipi... Hata kutandika kitanda ni mwiko😀Kabisa ndio ivyo mim uwa nafua jioni
Wataolewa tuHongera sana mkuu ila kwa style hii dada zangu wataolewa kweli?🤔
Badirika mkuu morng amka weka unapolala safi kuna kuanguka ukaletwa kwako watu wakosa ata pakupita kisa nguo zako umetawanyaMimi ni mvivu sana kwenye hizo secta. Peke yangu sijiwezi kabisa sijui ni uchafu au vipi... Hata kutandika kitanda ni mwiko😀
siku hizi nyama nakula mwanzoni, asije tokea mgeni aka zila😁Tumezoeshwa vibaya
Huli na juice au soda moja kwa moja
Na nyama unakula mwishoni 😁
Huo muda Sina mkuu. Nakumbuka miaka hiyo nipo bachela ilikuwa nikinunua kiatu nikavaa wiki kikichafuka natia kwenye tenga nanunua kingine.. na soksi hivyo hvyo, nikaja kustuka ninarundo la maviatuBadirika mkuu morng amka weka unapolala safi kuna kuanguka ukaletwa kwako watu wakosa ata pakupita kisa nguo zako umetawanya