Pima kabla ya kuingia kwenye ndoa, usitake kujuta

Pima kabla ya kuingia kwenye ndoa, usitake kujuta

Aisee hii ya sickle cell imenikuta. Aisee ile pisi ni mzuri hatari. Alafu alikuwa very humble lady familia njema. Eeh bwana nikakaa nakuwaza mhm mzabzab kweli utaweza safari za hospital...ikabidi nimtose tuu mrembo wa watu ila katika pisi kali nilizowahi kugegeda yule alikuwa top of the top
Ungebakia nae tu bora kuwa na mwanamke mwenye Sickle cell ambaye anajua unampenda so akakuheshimu kuliko ukawa na mwanamke ambaye hana changamoto ila hajielewi.
 
1. HIV -UKIMWI

2. Rhesus

3. Genotype

4.Hepatitis B

5. Hepatitis C

6. Magonjwa sugu

7. Magonjwa ya akili

8. Makundi ya damu

9. Magonjwa ya zinaa

10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba

NB: The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.
Huyo mchumba utakaye mpima vyote hivyo Ni Nani? Wewe mwenyewe umekamilika?
 
Ni Mungu tu anatulinda... mimi nilipata mwanamke tukaelewana tukaanza kunyanduana kwa ndom ila baadae tukatupa kule ndom tukaendelea kavu kavu...

Baada ya miezi 7 nikapeleka posa wakati huo ni mjamzito, wakati wa kusajili ndoa ikabidi tukapime na vipimo vikaonyesha tupo Negative, tukafunga ndoa chap, baada ya kuoana miezi minne imepita.. mke akaniita akaniambia nataka nikuambie kitu, Je una kifua? Nikamwambia hakuna shida hapo moyo unaenda mbiyo....

Akaniambia kuwa , mama yake, dada yake, mama yake mkubwa, mjomba wake, na wote wanaishi pamoja wameathirika na VVU....

Nikapiga magoti nikamlilia Mungu na kuomba toba na kumshukuru Mungu... just imagine [emoji26][emoji26][emoji26]
 
1. HIV -UKIMWI

2. Rhesus

3. Genotype

4.Hepatitis B

5. Hepatitis C

6. Magonjwa sugu

7. Magonjwa ya akili

8. Makundi ya damu

9. Magonjwa ya zinaa

10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba

NB: The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.

Kubwa zaidi ni Upendo.
Ndoa ni Upendo.

Hayo mengine uliyoyataja hayana maana yoyote Ile Kwa Watu wanaopendana.

Mnaweza msiwe na hayo yote lakini kama hamna upendo ndoa lazima iwe ngumu na iwape magonjwa yote uliyoyataja hapo na zaidi
 
Ni Mungu tu anatulinda... mimi nilipata mwanamke tukaelewana tukaanza kunyanduana kwa ndom ila baadae tukatupa kule ndom tukaendelea kavu kavu...

Baada ya miezi 7 nikapeleka posa wakati huo ni mjamzito, wakati wa kusajili ndoa ikabidi tukapime na vipimo vikaonyesha tupo Negative, tukafunga ndoa chap, baada ya kuoana miezi minne imepita.. mke akaniita akaniambia nataka nikuambie kitu, Je una kifua? Nikamwambia hakuna shida hapo moyo unaenda mbiyo....

Akaniambia kuwa , mama yake, dada yake, mama yake mkubwa, mjomba wake, na wote wanaishi pamoja wameathirika na VVU....

Nikapiga magoti nikamlilia Mungu na kuomba toba na kumshukuru Mungu... just imagine [emoji26][emoji26][emoji26]
Uokoke na umshike Yesu.
 
1. HIV -UKIMWI

2. Rhesus

3. Genotype

4.Hepatitis B

5. Hepatitis C

6. Magonjwa sugu

7. Magonjwa ya akili

8. Makundi ya damu

9. Magonjwa ya zinaa

10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba

NB: The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.
Mkuu angalia usije ukajioa mwenyewe
 
Copy and Paste ya Dr Celine wa Twitter
 
1. HIV -UKIMWI

2. Rhesus

3. Genotype

4.Hepatitis B

5. Hepatitis C

6. Magonjwa sugu

7. Magonjwa ya akili

8. Makundi ya damu

9. Magonjwa ya zinaa

10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba

NB: The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.
Wazazi wako walipima kabla ya ww kuzaliwa? Vijana tumekua wajuaji mnoo kisa vielimu vya mzungu hivi

Kma ni hivo basi watu wasingeoana katika hii dunia mana aso na hili ana lile

Kikubwa Muombe Mungu tu
 
Back
Top Bottom