Pindi Chana: Nimesitisha usafirishaji wa wanyamapori mpaka nitakapopata taarifa kamili

Yaani hii nchi haiaminiki hata kidogo…
 
Ili tujue kwamba hatuzugi basi na yeye atoe maandiko siyo mdomo mtupu. haiwezekani bandiko ni la Wizara halafu yeye asijue!

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Yaani Serikali ilikuwa haina taarifa!!? Basi kuna tatizo kubwa sana!! Wakati Serikali ndio iliyositisha usafirishaji huo mwaka 2016.
 
huyu waziri mm naona hafai pia mkurugenzi wa taasisi waliotangaza hafai ishu sensitive kama hii waziri ujui n shida
 
Hivyo kwakuwa yeye ni Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii ametangaza kusitisha mara moja usafirishaji wa wanyamapori na Maliasili mpaka hapo atakapopata taarifa kamili na kutoa maamuzi!
Yaani Waziri alikuwa hana habari na mambo yanayofanyika wizarani kwake hadi yanafika mitandaoni?

Hii ni serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…