Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Wenzio tupo tunahangaika na kutafta pesa huku tunakula vzr na kulala pazuri we mwenzetu unasumbuka na kitu kilichowashinda hadi mababu zetuu!!
 
😀 😀 usiwe unakula ugali wa dona usiku
 
Udugu anashinda rotana siku hizi kapata bwana mpya [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Watamtia mimba ss hiv aanze kunisumbua kumnunulia udongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu taratibuu bas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…