DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Yaani wanawake wapo wengi sana Kila Kona unakunana na mwanamke Tena sio mwanamke tu Bali ni mwanamke mrembo.
Kwanini utembee na mke wa mtu?
Yaani hakuna maumivu makali kama kuchapiwa mke wako amini hili.
Trauma anayoipata mwanaume kisaikolojia ni mara mia apigwe risasi ya trako.
Mkesha wa mwaka mpya Kuna mwamba hapa kitaaa alimfumania mke wake akiwa na dereva bodaboda ambae walikua wakimwagiza mizigo yote ya nyumbani😬🚮
Leo hatunae Tena baada ya jamaa kuamua kujiua huku akiacha meseji inayomtuhumu mke wake na bodaboda Kwa mauwaji, mke wake na boda boda wanashikiliwa na jeshi la polisi
Inauma sana ni kama kumfungulia mkeo duka afu analiwa na wateja.
R.I.P mwamba
Kwanini utembee na mke wa mtu?
Yaani hakuna maumivu makali kama kuchapiwa mke wako amini hili.
Trauma anayoipata mwanaume kisaikolojia ni mara mia apigwe risasi ya trako.
Mkesha wa mwaka mpya Kuna mwamba hapa kitaaa alimfumania mke wake akiwa na dereva bodaboda ambae walikua wakimwagiza mizigo yote ya nyumbani😬🚮
Leo hatunae Tena baada ya jamaa kuamua kujiua huku akiacha meseji inayomtuhumu mke wake na bodaboda Kwa mauwaji, mke wake na boda boda wanashikiliwa na jeshi la polisi
Inauma sana ni kama kumfungulia mkeo duka afu analiwa na wateja.
R.I.P mwamba