Pisi zipo nyingi sana mtaani tafuta Moja ya uhakika tulia

Pisi zipo nyingi sana mtaani tafuta Moja ya uhakika tulia

Yaani wanawake wapo wengi sana Kila Kona unakunana na mwanamke Tena sio mwanamke tu Bali ni mwanamke mrembo
Kwanini utembee na mke wa mtu?
Yaani hakuna maumivu makali kama kuchapiwa mke wako amini hili.

Trauma anayoipata mwanaume ki saikolojia ni mara mia apigwe risasi ya trako.

Mkesha wa mwaka mpya Kuna mwamba apa kitaaa alimfumania mke wake akiwa na dereva boda boda ambae walikua. Wakimwagiza mizigo yote ya nyumbani😬🚮

LEo hatunae Tena baada ya jamaa kuamua kujiua huku akiacha meseji inayomtuhumu mke wake na boda boda Kwa mauwaji 😓
mke wake na boda boda wanashikiliwa na jeshi la polisi

Inauma sana ni kama kumfungulia mkeo duka afu analiwa na wateja.

Rip mwamba
Mwamba ni bonge la kiazi
 
Huyu kweli analalamika kuwa mume hampi matunzo na mume Ni mwajiriwa ,na ananingangania sana ,nilimuahidi kumpa mtaji wa biashara nataka nimpe nitemane nae ,kiukweli amebarikiwa mzingo
Hata ivo hio ni chakula ya msela
 
Yaani wanawake wapo wengi sana Kila Kona unakunana na mwanamke Tena sio mwanamke tu Bali ni mwanamke mrembo
Kwanini utembee na mke wa mtu?
Yaani hakuna maumivu makali kama kuchapiwa mke wako amini hili.

Trauma anayoipata mwanaume ki saikolojia ni mara mia apigwe risasi ya trako.

Mkesha wa mwaka mpya Kuna mwamba apa kitaaa alimfumania mke wake akiwa na dereva boda boda ambae walikua. Wakimwagiza mizigo yote ya nyumbani😬🚮

LEo hatunae Tena baada ya jamaa kuamua kujiua huku akiacha meseji inayomtuhumu mke wake na boda boda Kwa mauwaji 😓
mke wake na boda boda wanashikiliwa na jeshi la polisi

Inauma sana ni kama kumfungulia mkeo duka afu analiwa na wateja.

Rip mwamba
Kawaacha waendelee kulana kimasihara......boda atamkimbia maana alizoea vya bure.
 
Yaani wanawake wapo wengi sana Kila Kona unakunana na mwanamke Tena sio mwanamke tu Bali ni mwanamke mrembo
Kwanini utembee na mke wa mtu?
Yaani hakuna maumivu makali kama kuchapiwa mke wako amini hili.

Trauma anayoipata mwanaume ki saikolojia ni mara mia apigwe risasi ya trako.

Mkesha wa mwaka mpya Kuna mwamba apa kitaaa alimfumania mke wake akiwa na dereva boda boda ambae walikua. Wakimwagiza mizigo yote ya nyumbani😬🚮

LEo hatunae Tena baada ya jamaa kuamua kujiua huku akiacha meseji inayomtuhumu mke wake na boda boda Kwa mauwaji 😓
mke wake na boda boda wanashikiliwa na jeshi la polisi

Inauma sana ni kama kumfungulia mkeo duka afu analiwa na wateja.

Rip mwamba
Kweli wanawake ni wengi why dating mke wa mtu?
Ila pia siwezi kujiua kwa kuchapiwa mke, hapo jamaa angemtafuta boda kimya kimya amlipizie
 
Nilinusurika kumbandua mmoja ila nilimshitukia alitaka kufanya ngono na mimi ili ku-balance equation na mumewe. Yaani mumewe alitembea na demu mwingine, mke ikamuuma, akataka alipize kisasi kama kupitia mimi kwa sababu tulikuwa na ukaribu wote watatu.

Kwa kweli tulikubaliana vizuri na kama penzi lilikuwa limenoga hivi, ila kabla ya kufanya hapo.
Nilichoshituka kuna siku alinipigia simu usiku kama saa 6 hivi, akawa anaongea kwa mahaba. Anauliza hivi unanipenda kweli? nikamjibu nakupenda.

Baada ya kumaliza kuongea simu haikukatwa kwa bahati mbaya. Nikamsikia jamaa ake anamuuliza, kwa hiyo na wewe umeamua kumpigia basha wako sio?
Demu akajibu dawa ya moto ni moto na vitu vingine vingi.

Siku ya 2 nikamwambia kabla na baada ya kufanya mapenzi, naomba asijue binadamu yeyote yule, anaweza?
akasema hilo halina tatizo yeye mwenyewe anapenda siri. Ila anataka tukifanya tu, kuna fala mmoja tu inabidi ajue.
nikamuuliza ni nani? akamtaja mume wake kwa jina.

Nikajisemea moyoni kumbe watu huwa wanakufa kimasihara ee!
 
Yaani wanawake wapo wengi sana Kila Kona unakunana na mwanamke Tena sio mwanamke tu Bali ni mwanamke mrembo
Kwanini utembee na mke wa mtu?
Yaani hakuna maumivu makali kama kuchapiwa mke wako amini hili.

Trauma anayoipata mwanaume ki saikolojia ni mara mia apigwe risasi ya trako.

Mkesha wa mwaka mpya Kuna mwamba apa kitaaa alimfumania mke wake akiwa na dereva boda boda ambae walikua. Wakimwagiza mizigo yote ya nyumbani😬🚮

LEo hatunae Tena baada ya jamaa kuamua kujiua huku akiacha meseji inayomtuhumu mke wake na boda boda Kwa mauwaji 😓
mke wake na boda boda wanashikiliwa na jeshi la polisi

Inauma sana ni kama kumfungulia mkeo duka afu analiwa na wateja.

Rip mwamba
Tukiwaambia vijana hizi mbususj ni kuzitomber na kutupa kule wanatuona wahuni....ukioa wee kaa ukijua kuchapiwa kupo pale pale.
 
Kuanzia Leo unatakiwa ujue kuwa umeoa ili kujenga familia , kuchapiwa mke hyo ni lazima , hasa kama mke wako ana mvuto flani lazima watam_tomba tuu...!! Ukisimamia msimamo tofaut na hapo jiandae kujinyonga tuu , interaction ni kubwa mno sa hv na ndo sababu ya yote haya
Mkuu unaongea tu juu ni hujui frustration yake
 
Back
Top Bottom