Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
Trauma anayoipata mwanaume kisaikolojia ni mara mia apigwe risasi ya trako.
[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ulichukua hatua gani? Ulimfukuza?Toka nijue nilichapiwa...sahivi nawala wake za watu balaa..tena nikijua ww ni mke wamtu ninaemfahamu, ndiyo nakupelekea moto balaa
Nani abebe majukumu, wakati mizoga imejaaKawaacha waendelee kulana kimasihara......boda atamkimbia maana alizoea vya bure.
Muongo hebu acha kuwadanganya dogozSahz hatuoi tunachomeka tu mkuyenge
Hapana sio marioo ni watu wanaosaidia taifaWanaodate na wake za watu ni marioo
Hii inatisha hii yani kisa ni mapenzi ndio anaweza kufikia kufanya maamuzi kama haya, In reality nadhani tunahitaji kuwa makini na wapenzi tulionao au tuliochagua kiungia kwenye mahusiano...Mkesha wa mwaka mpya Kuna mwamba hapa kitaaa alimfumania mke wake akiwa na dereva bodaboda ambae walikua wakimwagiza mizigo yote ya nyumbani😬🚮
Leo hatunae Tena baada ya jamaa kuamua kujiua huku akiacha meseji inayomtuhumu mke wake na bodaboda Kwa mauwaji, mke wake na boda boda wanashikiliwa na jeshi la polisi
Acha uongooHutaki?
😃😃😃😃 Trauma ya saikolojia ni hatari sana inaweza kukufanya ukafanya chochoteEeh!
Mental illness ni hatari sana dah! Sijamwelewa kabisa huyo jamaa uamuzi aliouchukua😲😲😲
Hii inatisha hii yani kisa ni mapenzi ndio anaweza kufikia kufanya maamuzi kama haya, In reality nadhani tunahitaji kuwa makini na wapenzi tulionao au tuliochagua kiungia kwenye mahusiano...
Unaweza wewe ukawa sahihi lkn upande wa mwenzio ikawa tofauti yani tafrani...😲😲😲