Mkuu si useme tu jogoo hawikii. Mwanaume kamili Cha kwanza lazima uwe na uwezo wa kuhonga. Huo ndo ufahari.Binafsi pesa yangu Bora nitumie yote peke yangu kuliko kumpa Mwanamke tofauti na Mama Mzazi yaani nionge pesa kisa uchi labda Kama sio Mimi
Namshukuru Mungu Sana kaniumba tofauti yaani Mimi ujinga Sina. Kwanza nikiangalia mtaani watu wanavyoteseka eti nimpe Mwanamke pesa aisee Bora niitwe majina yote bahili , mchoyo nk kuliko kumpa pesa Malaya au demu wangu
Uzinzi unaongelea kwa hisia. Msamaha wa Mungu una nguvu kuliko kosa liwalo aina yoyote.Waulize waoliofanya Uzinzi kabla yako Mambo yanaendaji in their life circulation .
Unabidi kujitenga na Uzinzi tangu ukiwa Mdogo sio unayajua haya mambo ukubwani na unayajua baada ya kufanya Uzinzi mkubwa ambao umeota Mbawa .
Hiyo italipwa Mkuu uzagamuaji hauna msamaha.
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.
Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Milele Amina mtumishi wa mungu nimekukata apa usambaze injili Kwa vijana wa hovyo wanaoteketea pamoja na National AnthemTumsifu Yesu Kristo Santos06
Ngoja nikupe kuhani mwingine mama D na huyu Jemima Mrembo
Kuna ajali kazini alafu huwa hairudi nyuma hiyo kama basi la simba🤣🤣🤣Aise ni kucheza salama tu
Milele Amina mtumishi wa mungu nimekukata apa usambaze injili Kwa vijana wa hovyo wanaoteketea pamoja na National Anthem
Oa mkuu 😂Sema hili nalo la kulitazama
🤣🤣🤭[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Demu permanent hana gharama sana na unaweza kupangua baadhi ya mizinga kama haina tija. Demu mpya kila siku utakuwa unatafuta kuwa impress ili uwavue chupi hapo ndio unateketea sasa.Ukiwa na demu mmoja? Saa ngapi utalalamika?
Maana mmoja sidhani kama atakuwa anaomba hela kila siku