Hapo ndipo unapopata picha halisi ya Watz na wasomi walio wengi WakiTZ, ni wavivu wa kusoma vitabu na hata majarida mbalimbali. Inakera kweli ndiyo maana tunadanganywa hovyo hovyo. Because we don't read books we know not where we're fromAhsante mkuu The bold Nashangaa kuna watu wanasema eti ndefu..!! Me nimesoma yote na nimesoma michango yote. Lkn mkuu kwenye hiyo issue ya ubia me pia npo tayari,ntakutafuta mkuu!!
Hayo machata me nimeyang'amua mengi tu, cos kuna titles haziusiani na uzi, kwa mf, Mkuu......., en unaporomosha vipande, asee kwa code hizi hatuibiwi kazi zetu. NO Plagiarism, Big up mkuu ingayo hukunitag mamamaeeee.......Hapo ilipo hiyo makala ina 'machata' kibao nimeyaficha ndani kwa ndani humo humo.. Ujanja huo alinifundisha mkuu Kiranga
Yani sijui ni lini watu wataelewa hili somo kuwa si sawa kuquote post yenye maelezo marefu..Aaaaaaargghh...! Wale wa Ku quote liuzi loote mnatuchosha wengine;[emoji35] [emoji35]
Hivi usingequote uzi wote usingeeleweka?nimekuelewa mkuu,ya wengine pia
Pamoja sana Mkuu! Nashukuru..heshima kwako mkuu mungu ubalikiwe sana usichoke kutuabalisha mambo mengi ya ulimwengu
Zinakuja nyingine nyingi tu Mkuu..Mkuu huna nyngne za namna hii maan nazipenda sana watu wanaosumbua serikali
Nilkua natamani nimjue jamaa kiundan leo ndo nmemjua vzur imenichukua saa moja maan nilkua narudia ili nielew vzuri heshima kwako mtoa uziZinakuja nyingine nyingi tu Mkuu..
Pamoja sana Mkuu! Shukrani..Nilkua natamani nimjue jamaa kiundan leo ndo nmemjua vzur imenichukua saa moja maan nilkua narudia ili nielew vzuri heshima kwako mtoa uzi
Shukrani sana Mkuu Expected Value!Ahsante sana The bold, hii ni full dose tunahitaji dose za namba hii kuongeza ufahamu. Shukrani tena na tena. You're always in standards.
Brgds,
Expected Value.
Hahahaha! Shukrani Mkuu..Story nzuri sana mkuu, hongera sana kwa kutumia mda wako mwingi kutuelimisha, sema dooooo hadi macho yanapoteza nuru