We jamaa uyo mbona ni famous sana aliitikisa dunia kwa Biashara haramu sana Basicaly madawa ya KulevyaNi Raisi au?
Asante kwa usahihishoo
Mkuu hili la kuliwa na wana hao wa Mungu sijui kama lipo katika historia..I think Ni wale KIZAZI waliozaliwa baada ya BINADAMU kuliwa na Wana wa Mungu aka malailka/WALIOASI ndo wakazaliwa Hawa kina PABLO ESCOBER
Nimekupata..ila kizazi kama hiki hakipo tena duniani, saivi tunao wakina Trump[emoji23][emoji23]We jamaa uyo mbona ni famous sana aliitikisa dunia kwa Biashara haramu sana Basicaly madawa ya Kulevya
Zungu la ungaNa hapa alipo inaonekana ndiyo Ofisi yake ya Kazi, kumejaa rubber bands za kufunga hela.
Sijui kama yuko hai au lah!
Ni nani huyu hapa duniani?
View attachment 1421388
Muuza unga maaru duniani.Ni Raisi au?
Yes sasa wewe ukisoma hiyo plata or plomo ni zaidi ya harvad NONDO yake mkuuu....
Hahaha gugo Wana wa Mungu walipowaona wana wa binadamu ni wazuri wakawaingilia wakazaaa wana watotoMkuu hili la kuliwa na wana hao wa Mungu sijui kama lipo katika historia..
Ni Raisi au?
Wewe JK kumbe unamanisha ile historia ya kwenye Bible...lakin ile ilikua miaka ming sana hadi huyu wa kwenye picha aishiHahaha gugo Wana wa Mungu walipowaona wana wa binadamu ni wazuri wakawaingilia wakazaaa wana watoto
Basi ni wachache mbegu kama hiz zilikuja duniani...saivi tuna TrumphHuyo drug dealer au drug lord
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Unaeza elezea nini chanzo..unaeza nambie nigugo ila we niandikie hapaWazazi wake walimuita "Pablo"
Misery life in wealth situation.Kafa akiwa na miaka 44
Hajatumia hata robo ya hela hizo
Ameishi kama digidigi kwa miaka yote akiwa na hizo hela
What a life [emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hili la kuliwa na wana hao wa Mungu sijui kama lipo katika historia..