Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Alikuwa anafuata bulga tu shuleniKasoma lakini hajaelimika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anafuata bulga tu shuleniKasoma lakini hajaelimika
Ni mpuuzi kama wenzake walio okotwa majalalaniHuyo ni profesa ubwabwa hata Wakenya wamempuuza kitambo.
Huyu mzee Watanzania wangemfuatilia kwa umakini sana juu ya mambo yake ya hovyo Kenya wasingekuwa wanampa umakini wa kumsikiliza hata kwa sekunde.Huyo ni mweupe kabisa kichwani
Mjanja sn hakutani na watu hovyo hovyoSijui covid kwanini inamstahi
Mbona hakuzungumza kuhusu credibility ya uchaguzi ule,ambao dunia nzima ilisema una dosari nyingi?
-Je,kuzuia Uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia ya vyama vya siasa vya upinzani ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara nako ni kuenea kwa CCM?
-Yeye kama mwanasheria,tena akiwa Mkenya,Tukio la Mbunge Lissu na mpinzani mkuu wa hayati Magufuli kupigwa risasi mchana kweupe,bila serikali kuonesha accountability,anaona ni sahihi?
Yani mimi nilikua namkubali lisu ila toka aanze kuwa kubaraka wa wazungu hâta sitaki msikiliza.. Yani babu zetu walipambana na wazungu mtu a nakuja kuwa agent waoJust because he didn't feed your ego...
Na mungu wako amekufa,sasa hivi anapambana na mafunza huko chini!Kwani ni uongo ccm kasambaa kuwashinda. Tundu lenu la Choo limenyewa huko mnakuja tushawishi JF, fvckin.