PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

Hiki kisago cha bundle ni maagizo ya ibilisi mwenyewe, halafu alikuwa anaoongopea watu kuwa nchi hii ina rasilimali kibao na ni tajiri sana. Kama ina rasilimali kibao, mbona kodi kandamizi ziko kwenye mawasiliano, na sio huko kwenye hizo raslimali?

Sasa ikawaje Mama Samia nae akaendeleza pale pale alipoishia jiwe kama yeye yuko tofauti na huyo jamaa?
 
Sasa ikawaje Mama Samia nae akaendeleza pale pale alipoishia jiwe kama yeye yuko tofauti na huyo jamaa?

Hii kodi ilikuwa imeshapangwa, ibilisi kafariki ana wiki 2+ sasa. Hivyo hii kodi sio ya maagizo ya huyo mama. Sisemi kama huyu mama ni mwema maana hata yeye ni uzao wa majizi ya kura,lakini hawezi kufikia uhayawani wa jiwe.
 
Hii kodi ilikuwa imeshapangwa, ibilisi kafariki ana wiki 2+ sasa. Hivyo hii kodi sio ya maagizo ya huyo mama. Sisemi kama huyu mama ni mwema maana hata yeye ni uzao wa majizi ya kura,lakini hawezi kufikia uhayawani wa jiwe.

Jiwe. HayAwani. Ni very Bold Statement. Naomba nisaidie. Unamjua jiwe vizuri. Tuambie bila kuleta za kusikia. Na hamu ya kusikia kutoka kwenye source.
 
Jiwe. HayAwani. Ni very Bold Statement. Naomba nisaidie. Unamjua jiwe vizuri. Tuambie bila kuleta za kusikia. Na hamu ya kusikia kutoka kwenye source.
Unauliza au unapigia jibu mstari?
 
..Prof.Lumumba yuko kwenye payroll ya serikali ili kuitetea ktk vyombo vya habari vya kimataifa.

..jiulizeni nani alifadhili ziara zake ktk miradi ya sgr, stieglers gorge, chato airport, etc?

..Nimemshangaa Prof alivyopuuza kilio kutokana na dhuluma wanazofanyiwa vyama vya upinzani ktk nchi za kusini na mashariki ya Afrika, wakati huohuo akijitambulisha kama Pan-Africanist.
 
Tutamuomba apgwe risasi 16 afu apunguze hasira na yeye.Mimi nmeshachora tatoo ya Lissu kwisha.
 
Huyo Lumumba kaongea kwakuw Magu kafa ila alkuw mpinzan wake mkuu
 
Tupe sifa zake tulinganishe na za kwetu tuone zipi zenye mashiko kwa dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…