PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

Safi kabisa hii ni team makamba na team jafo zinapambana na team majaliwa.
Team wasira inapika majungu soon itaibuka.
Team kigwangala ipo inatafakari.
Team Mwigulu hii ndiyo balaa imepania sana kufanya chochote kupambana na vikwazo vya team zote.
Team Kabudi haina hela na ushawishi imekufa kabla haijazaliwa.
Nimecheka kwa sauti kubwa sana. Team Wasira hahahahaaaa
 
I knew you before you were born,kama hakika mwenyezi mungu, mungu Wa majeshi alimteua na kumpangia mheshimiwa Majaliwa kuwa atakuwa rais Wa jamhuri ya Tanzania ,yote uliyoyaandika hapa ni ubatili.

Mungu awe pamoja naye na kila afanyalo amsaidie,hakika atafanikiwa

Long live Hon.Majaliwa
 
I new you before you were born,kama hakika mwenyezi mungu, mungu Wa majeshi alimteua na kumpangia mheshimiwa Majaliwa kuwa atakuwa rais Wa jamhuri ya Tanzania ,yote uliyoyaandika hapa ni ubatili.

Mungu awe pamoja naye na kila afanyalo amsaidie,hakika atafanikiwa

Long live Hon.Majaliwa
20 years Ikulu.
 
Uzoefu katika historia, ni vigumu sana kwa mtu aliyekuwa Waziri Mkuu kuupata Urais.
Fuatilia:
Sokoine
Salim Ahmed Salim
Cleopa Msuya
Warioba
Malecela
Sumaye
Lowassa
Pinda

Hao Mawaziri Wakuu si kwamba hawakujaribu bahati zao kuupata Urais , la hasha!
Mkuu wa utendaji serikalini huwa amebeba lawama nyingi sana za kiutendaji, hivyo kubeba liabilities kisiasa na maadui.
 
Ni lazima amuachie Mkoromije mwenzie hasa mtoto wa Dada Dotto James ambaye atapigwa chini na kama kuna katiba mpya na tume huru basi maccm YARIE TU!
Marais wote waliomtangulia walikuwa na akili na wabobezi wa siasa kuliko Jiwe lakini walishindwa kuwachagulia wabongo warithi wao!!! Mkwere alimtaka Membe , sasa yuko wapi? Hata Mwalimu alishndwa kumuachia Salim!!! Kama ana akili kidogo ataelewa kuwa kama ana mpango wa kumuachia msukuma mwenzie afadhali auache.
 
Mmeanza kumtafuta majaliwa, 2025 hakuna Uchaguzi Kama hakuna tume huru, na ikipatikana tume huru ccm ujiandae kufunga virago mapema, hata wakiwasha mitambo 30, no way inaweza kushinda,hata wamsimamishe malaika,
 
Ni mtu kama Nape Mnauye tu ndio anaweza kuanza kuandika fitina kama hizi kwani alikatazwa kuzunguka zunguka kufanya kampeni kwenye sehemu nyingine tofauti na constituency yake!!! I am told he also has presidential ambitions!.

Jiwe has lowered the bar of the presidency to such a low such that even fools believe they can be presidents.
If Trump can, so can you!
 
Mwinyi ametulia, got ideas, young.

Muacheni Hussein aoneshe kwanza kama anaweza kuwathibiti ITALIANS wanaowaibia wazanzibari mali zao mchana kweupe na kuuza madawa ya kulevya yaliyowaharibu vijana wengi huko visiwani!
 
Bila shaka na wewe Jafo unaulilia Urais. Team Jafo mnaanza kulia kulia. Pambaneni na nyie mjiimarishe.
Jaffo mnampa tu kiki hasizostahili....

Yule dogo hawezi kuwa Rais..kwanza hayuko smart enough kichwani, anafanya mambo kwa mihemko, hata haiba ya Urais hana.. Kwa kifupi hafai

Rais ajae ni lukuvi japo hana elimu. Sub yake ni kabudi alafu mwigulu ni shabiki nje ya uwanja...
 
Back
Top Bottom