PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

H

Mtego wa CCM upo kwenye mkutano mkuu hapo ndiyo pamoto ukija na jina lako mfukoni lazima walifyeke
Hata ukija na majina zaidi ya mmoja utaingia Chaka tu; mkwere alikua na matatu:- Membe, January na Asha Rose lakini hakufanikiwa na badala yake JIWE akapenya!!! Hawa viongozi wanafikiri kwavile wanafanikiwa kuwaibia wananchi, hivyo wataweza kuwachagulia Rais pia!!!
 
Kauli na mrejeo ya anachoyamka zinamuondolea credits za kuwa rais. Kila day anashindwa kuweka nchi kwenye mstari.
 
Jaffo mnampa tu kiki hasizostahili....

Yule dogo hawezi kuwa Rais..kwanza hayuko smart enough kichwani, anafanya mambo kwa mihemko, hata haiba ya Urais hana.. Kwa kifupi hafai

Rais ajae ni lukuvi japo hana elimu. Sub yake ni kabudi alafu mwigulu ni shabiki nje ya uwanja...
Kwa sheria za mafao ya marais Kumchagua Rais chini ya miaka 55 ni janga kwa Taifa.
Kuna Siku tutalea mabilionea 10 kwa wakati mmoja waliojilimbikizia fedha kupitia Ikulu kwa mgongo unaoitwa wastaafu.
Kuwahudumia kwa mwaka itakua kama kuhudumia Wizara mbili.

Afrika tunakua maskini kwa sababu ya umaskaini wa mawazo yetu wenyewe.

Eti mtu anasema sasa ni zamu ya vijana bila kutuambia kuwa faida yake nini na hasara yake kwa taifa nini ?
Marekani na nchi zilizoendelea sio wajinga kuchagua marais wenye umri mkubwa. Umri mkubwa unaondoa ubinafsi. Upendeleo ,ufuska ,uhuni ,wizi, urafiki ,kuchaguana kwa sura na kuangalia maumbile ya wadada n.k.

Vijana wasubiri umri wao utafika na akili zai zitatulia watapata urais.

2021 Lukuvi, Mwinyi, Majaliwa, Lisu, Membe ,Lowasa,Wasira, Mwakyembe n.k wanatisha kuchukua Form na kugombea . Urais sio kubeba zege.
 
Rais ni huyo huyo Magufuli. Magufuli alishatamka haoni mtu wa kufanya "makubwa"aliyoyafanya yeye.Maono ya madictator huwa hawaoni mtu kama wao wa kuweza kuongoza.
Binti hivi mbona unaliehadidia hili jambo? Achana na JPM kuongeza muda hilo halipo. Lakini wewe si wa kwanza kuzusha, hata Mkapa wapuuzi walizusha kuwa atabadili katiba; JK naye alizushiwa na sasa JPM unamzushia kila comment yako.
 
Kwa jinsi JK na JPM walivyoupata Urais, anything is possible kwa CCM. Ila Bora Kassim kuliko Jaffo.... Kwa maoni yangu.
JK kuwa Rais haikuwa inakwepeka! JK alipaswa kua Rais toka 1995 sema Julius akasema acha kwanza Benja atawale then after Benja achukue mzigo JK

JK enzi zake alibebwa sana na wafanyabiashara wakubwa wakubwa Nchini,kina Rostam Aziz, na wengineo,pia alikua amejenga mtandao mpana sana,kiasi kwamba ilikua ngumu kumutosa!

Magu ndiyo alipata urais sababu ya ubabe wa Godfather wake Benja,Benja alifosi Magu kuingia tano bora,na walipokata tu jina la Lowasa,wajumbe waka mind,wakasema bora tukose wote,hasira zikahamia kwa kuwachakaza watu wa JK ambao ni Amina Ali,Aisha Rose Migiro na Benard Membe! Makamba hakua chaguo la JK,na ndio maana kuna siku,JK alisema January anapenda mambo,makubwa wakati wake bado.
 
Hivi unadhani kina Gwajima wameenda bungeni kimakosa?? Subiri mchakato wakumsaka Rais uanze,ndiyo utajua
Subirini mtakapo kujua maana ya Usalama wa Taifa kama Mkwere alipo ujuwa wakati akitaka Membe amrithi kilicho mtokea
 
Kuna mtu mmoja mnamsahau sana, ila naona bright future mbele yake; Ndugulile
 
Marais wote waliomtangulia walikuwa na akili na wabobezi wa siasa kuliko Jiwe lakini walishindwa kuwachagulia wabongo warithi wao!!! Mkwere alimtaka Membe , sasa yuko wapi? Hata Mwalimu alishndwa kumuachia Salim!!! Kama ana akili kidogo ataelewa kuwa kama ana mpango wa kumuachia msukuma mwenzie afadhali auache.
Hiz ndoto zaweza kuwa kweli
 
Marais wote waliomtangulia walikuwa na akili na wabobezi wa siasa kuliko Jiwe lakini walishindwa kuwachagulia wabongo warithi wao!!! Mkwere alimtaka Membe , sasa yuko wapi? Hata Mwalimu alishndwa kumuachia Salim!!! Kama ana akili kidogo ataelewa kuwa kama ana mpango wa kumuachia msukuma mwenzie afadhali auache.
[emoji44][emoji44][emoji44] undugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anamrithi Jpm kama mgombea urais, mwenyekiti wa CCM au rais?Au unadhani ukigombea ccm unakuwa na guarantee ya kuwa rais? Don't claim.
 
Back
Top Bottom