PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

Waziri Mkuu anaishi Ikulu?? Wewe jamaa vipi! Waziri mkuu ana ofisi Ikulu na sio ana ishi Ikulu
 
Hapana alisema anataka kijana achukue viatu vyake, Lukuvi na Kabudi waliambiwa hata wafanyeje hawapati kitu, huu mzigo wa Bashungwa tu
Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
 
Jaffo mnampa tu kiki hasizostahili....

Yule dogo hawezi kuwa Rais..kwanza hayuko smart enough kichwani, anafanya mambo kwa mihemko, hata haiba ya Urais hana.. Kwa kifupi hafai

Rais ajae ni lukuvi japo hana elimu. Sub yake ni kabudi alafu mwigulu ni shabiki nje ya uwanja...
Lukuvi hana elimu?? Kapiga OUT yule jamaa acha hizo
 
Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
Kwanza Bashungwa sio Mhaya ni Mnyambo, pili hoja ya kutokumpenda sio kweli mihula yote miwili kaingia kwenye Baraza la mawaziri. Wabunge wote wote wa CCM alikosa wa kushika hiyo nafasi mmpaka kahamua kumrudisha. Magu hana roho ya chuki bhuana.😁😁😁😁
 
Ukigombea mbona itakuwa bomba!!!Mie unipe Uwaziri Mkuu tu niwachape viboko hadharani Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Wakuu wa Taasisi za Serikali na akina mama viboko vya mikononi kila wanapovurunda. 😜
Hapo kila mtu anaona atakuwa Rais. Hata mimi nitachukua form. Sema sijui watakuwa wameruhusu wagombea huru ?😂🙈
 
Kwanza Bashungwa sio Mhaya ni Mnyambo, pili hoja ya kutokumpenda sio kweli mihula yote miwili kaingia kwenye Baraza la mawaziri. Wabunge wote wote wa CCM alikosa wa kushika hiyo nafasi mmpaka kahamua kumrudisha. Magu hana roho ya chuki bhuana.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ha ha ha ha! Hivi unajua chimbuko la Chato kutoka Biharamulo Kagera hadi kurudi Geita?? Magu humujui vizuri pale visasi ndiyo vimelala! Wote aliopishana nao kauli,cha moto wamekiona! Manji, Hanspope,wengine ilibidi wajisalimishe ili mambo yaishe,muulize Mansoor Shariff Mbunge wa Kwimba!
 
Ha ha ha ha! Hivi unajua chimbuko la Chato kutoka Biharamulo Kagera hadi kurudi Geita?? Magu humujui vizuri pale visasi ndiyo vimelala! Wote aliopishana nao kauli,cha moto wamekiona! Manji, Hanspope,wengine ilibidi wajisalimishe ili mambo yaishe,muulize Mansoor Shariff Mbunge wa Kwimba!
Sasa huo uwaziri kaupataje pataje aisee? Na Magu ana ranch huko Karagwe ya mifugo.
 
Sasa huo uwaziri kaupataje pataje aisee? Na Magu ana ranch huko Karagwe ya mifugo.
Kampa sababu yakubalansi mambo tu,na Bashingwa anapendwa sana na Ndugai kama hujui sasa! Naibu Waziri wa Viwanda alipigiwa pande na Job Ndugai...Hadi kupanda nakufika hapo alipo!

Hivi unadhani kina Gwajima wameenda bungeni kimakosa?? Subiri mchakato wakumsaka Rais uanze,ndiyo utajua
 
Kuna harufu ya uongo na majungu hapo,eti kuteuliwa kwa Polepole ni kwa ajili ya kumfuatilia PM bungeni.
 
I new you before you were born,kama hakika mwenyezi mungu, mungu Wa majeshi alimteua na kumpangia mheshimiwa Majaliwa kuwa atakuwa rais Wa jamhuri ya Tanzania ,yote uliyoyaandika hapa ni ubatili.

Mungu awe pamoja naye na kila afanyalo amsaidie,hakika atafanikiwa

Long live Hon.Majaliwa
20 years Ikulu
Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
Mimi nilijua atakuwa Rais na nilimwambia tulipokutana Pemba.
 
PM mbona ajengi kwao anakwamia wapi,Hali mwenzake anageuza kwao ulaya.
 
H
Marais wote waliomtangulia walikuwa na akili na wabobezi wa siasa kuliko Jiwe lakini walishindwa kuwachagulia wabongo warithi wao!!! Mkwere alimtaka Membe , sasa yuko wapi? Hata Mwalimu alishndwa kumuachia Salim!!! Kama ana akili kidogo ataelewa kuwa kama ana mpango wa kumuachia msukuma mwenzie afadhali auache.
Mtego wa CCM upo kwenye mkutano mkuu hapo ndiyo pamoto ukija na jina lako mfukoni lazima walifyeke
 
Mda wote mnawaza kuumiza watu,mnasema Majaliwa ili afanyiwe fitna na Mfugale tower ndo mseme umeona Sasa,ziara zimemponza
 
Back
Top Bottom