Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??Hapana alisema anataka kijana achukue viatu vyake, Lukuvi na Kabudi waliambiwa hata wafanyeje hawapati kitu, huu mzigo wa Bashungwa tu
Lukuvi hana elimu?? Kapiga OUT yule jamaa acha hizoJaffo mnampa tu kiki hasizostahili....
Yule dogo hawezi kuwa Rais..kwanza hayuko smart enough kichwani, anafanya mambo kwa mihemko, hata haiba ya Urais hana.. Kwa kifupi hafai
Rais ajae ni lukuvi japo hana elimu. Sub yake ni kabudi alafu mwigulu ni shabiki nje ya uwanja...
Kwanza Bashungwa sio Mhaya ni Mnyambo, pili hoja ya kutokumpenda sio kweli mihula yote miwili kaingia kwenye Baraza la mawaziri. Wabunge wote wote wa CCM alikosa wa kushika hiyo nafasi mmpaka kahamua kumrudisha. Magu hana roho ya chuki bhuana.😁😁😁😁Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
Hapo kila mtu anaona atakuwa Rais. Hata mimi nitachukua form. Sema sijui watakuwa wameruhusu wagombea huru ?😂🙈
Ha ha ha ha! Hivi unajua chimbuko la Chato kutoka Biharamulo Kagera hadi kurudi Geita?? Magu humujui vizuri pale visasi ndiyo vimelala! Wote aliopishana nao kauli,cha moto wamekiona! Manji, Hanspope,wengine ilibidi wajisalimishe ili mambo yaishe,muulize Mansoor Shariff Mbunge wa Kwimba!Kwanza Bashungwa sio Mhaya ni Mnyambo, pili hoja ya kutokumpenda sio kweli mihula yote miwili kaingia kwenye Baraza la mawaziri. Wabunge wote wote wa CCM alikosa wa kushika hiyo nafasi mmpaka kahamua kumrudisha. Magu hana roho ya chuki bhuana.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa huo uwaziri kaupataje pataje aisee? Na Magu ana ranch huko Karagwe ya mifugo.Ha ha ha ha! Hivi unajua chimbuko la Chato kutoka Biharamulo Kagera hadi kurudi Geita?? Magu humujui vizuri pale visasi ndiyo vimelala! Wote aliopishana nao kauli,cha moto wamekiona! Manji, Hanspope,wengine ilibidi wajisalimishe ili mambo yaishe,muulize Mansoor Shariff Mbunge wa Kwimba!
Kampa sababu yakubalansi mambo tu,na Bashingwa anapendwa sana na Ndugai kama hujui sasa! Naibu Waziri wa Viwanda alipigiwa pande na Job Ndugai...Hadi kupanda nakufika hapo alipo!Sasa huo uwaziri kaupataje pataje aisee? Na Magu ana ranch huko Karagwe ya mifugo.
Imepinda wapi?Sisi ni tunamtaka Magufuli huyuhuyu anyooshe hii nchi kwanza.
Kweli mkuu, una uhuru wa kutoa maoni, hata kama ni porojoKwa nini mkuu? Kwani Uhuru wa kutoa maoni haupo JF
20 years IkuluI new you before you were born,kama hakika mwenyezi mungu, mungu Wa majeshi alimteua na kumpangia mheshimiwa Majaliwa kuwa atakuwa rais Wa jamhuri ya Tanzania ,yote uliyoyaandika hapa ni ubatili.
Mungu awe pamoja naye na kila afanyalo amsaidie,hakika atafanikiwa
Long live Hon.Majaliwa
Mimi nilijua atakuwa Rais na nilimwambia tulipokutana Pemba.Magufuli na Wahaya haziendi kabisa! Naomba ulitambue hili,pili Rais ajae unaweza kuta ni mtu ambaye kila mtu hata hamudhanii! Si unaona jiwe alivyopita?? Nani alijua kwamba Jiwe atakua Rais??
Take time and pause to study.Kuna harufu ya uongo na majungu hapo,eti kuteuliwa kwa Polepole ni kwa ajili ya kumfuatilia PM bungeni.
Mtego wa CCM upo kwenye mkutano mkuu hapo ndiyo pamoto ukija na jina lako mfukoni lazima walifyekeMarais wote waliomtangulia walikuwa na akili na wabobezi wa siasa kuliko Jiwe lakini walishindwa kuwachagulia wabongo warithi wao!!! Mkwere alimtaka Membe , sasa yuko wapi? Hata Mwalimu alishndwa kumuachia Salim!!! Kama ana akili kidogo ataelewa kuwa kama ana mpango wa kumuachia msukuma mwenzie afadhali auache.