PM Majaliwa anafahamu maana ya uwajibikaji? Ajali 3 kubwa zimetokea ofisi yake imeshindwa kuokoa watu lakini yupo tu

Hayo mazuri ni wajibu wake anatimiza, tuache kuwa watu wa kujikomba kwa watawala.
Majaliwa mnamuonea jamaniiii.Mbona yakitokea mazuri hasifiwi??anasifiwa mwingine na yule anayeogelea sifa mnataka na hili hasilaumiwe?

Mfumo wa utawala tanzania ni maamuzi ya mtu mmoja kwa hiyo wengine wanakuwepo kama vivuli.
 
Kwa sababu wameshika na kuchimbia mizizi yao kwenye vyombo vyote vya dola.
Na nyinyi wananchi mnatakiwa kujitafakari, kwanini miaka nenda rudi mnakubali kutawaliwa na watu ambao akili zao zimeshachoka kuzalisha suluhu ya matatizo ya jamii zenu.
 
Majaliwa mnamuonea jamaniiii.Mbona yakitokea mazuri hasifiwi??anasifiwa mwingine na yule anayeogelea sifa mnataka na hili hasilaumiwe?

Mfumo wa utawala tanzania ni maamuzi ya mtu mmoja kwa hiyo wengine wanakuwepo kama vivuli.
Uko sahihi ila kweli kweli Waziri Mkuu Majaliwa hawezi kuwajibika hata kwa 30% kweli ? katika hali ya DHARULA? YEAH HE IS VERY HUMBLE PERSON LAKINI SIYO MUWAJIBIKAJI KABISA KABISA .
 
Mbona yule chifu wa mchongo kutoka zenji hamumwambii ajiuzulu?
 
uwajibikaji ni yeye kusafiri kwa ndege kwenda kuzika na kuaga miili.
 

Anahitaji kukumbushwa kidogo.
 
Na hapo Samia ana zurura tu. Ila lawama PM.
 
Kuna watu humu ni mabox kabisa. Kuwajibika kwa waziri mkuu ni lazima kwa sababu shughuli hizi zinaratibiwa na ofisi yake. Tuna ujinga mwingi kama taifa.
 
Watu weusi mpaka tufikie kuwa binadamu kamili ni mchakato mrefu. Bado tupo kwenye muundo wa namna yetu wa kipekee hapa ulimwenguni.
 

Kweli kabisa Kiongozi,Pole Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…