Majaliwa mnamuonea jamaniiii.Mbona yakitokea mazuri hasifiwi??anasifiwa mwingine na yule anayeogelea sifa mnataka na hili hasilaumiwe?
Mfumo wa utawala tanzania ni maamuzi ya mtu mmoja kwa hiyo wengine wanakuwepo kama vivuli.
Na nyinyi wananchi mnatakiwa kujitafakari, kwanini miaka nenda rudi mnakubali kutawaliwa na watu ambao akili zao zimeshachoka kuzalisha suluhu ya matatizo ya jamii zenu.
Uko sahihi ila kweli kweli Waziri Mkuu Majaliwa hawezi kuwajibika hata kwa 30% kweli ? katika hali ya DHARULA? YEAH HE IS VERY HUMBLE PERSON LAKINI SIYO MUWAJIBIKAJI KABISA KABISA .Majaliwa mnamuonea jamaniiii.Mbona yakitokea mazuri hasifiwi??anasifiwa mwingine na yule anayeogelea sifa mnataka na hili hasilaumiwe?
Mfumo wa utawala tanzania ni maamuzi ya mtu mmoja kwa hiyo wengine wanakuwepo kama vivuli.
Haahahahahahahahahahhahaha...Kwahiyo mkuu we ulitaka afanyaje afe na yeye au ?
Ajali hii bado tarehe ni 2020 soma yote uliyoandika2020 mkuu. Nimerekebisha
PM Majaliwa ana roho ngumu sana. Na ninadhani anatuona wananchi kama wanyama tu. Kwann hawajibiki pale maovu na uzembe vinapotokea kwenye serikali?
Au hatambui maana ya cheo ni dhamana?
2020 Mv Ukerewe iliua watu wengi yeye akiwa waziri mkuu. Shughuli za uokozi zilikuwa za kiwango cha chini kiasi cha kutia aibu. Majaliwa yupo tu!
2020... Ajali ya moto Msamvu iliuwa watu zaidi ya 100. Uokoaji ulifanyika kizembe na hata tiba za watu wale hazikuwa za kiwango cha kitaalamu Majaliwa yupo tu.
Leo 06/11/2020 ajali ya ndege ya Precision imetokea na kuua watu 19. Huku uokoaji ukiwa imetawaliwa na dhihaka ya kiwango cha SGR..... Majaliwa yupo tu.
Are the tanzanians subjects or objects? Why leaders are not accountable?
Eti sasa tunaqmbiwa serikali inaandaa mazishi ya heshima kwa marehemu wa ajali ya ndege. Hatutaki mazishi ya heshima, tunataka maisha yalindwe kwa heshima
View attachment 2408822
View attachment 2408823
Hii nafasi ya kikatiba inamuhitaji kuwajibika kwa mtiririko wa matukio yaliyowahi kutokea chini yake.Watu weusi mpaka tufikie kuwa binadamu kamili ni mchakato mrefu. Bado tupo kwenye muundo wa namna yetu wa kipekee hapa ulimwenguni.
Acheni chukiKassim Majaliwa kassim
ni kiongozi anayebebwa lakini ana uwezo Mdogo kiutendaji
Nani atakusaidia haya maisha upo mwenyewe aliokufa tuwaombee tu hakuna namna eti Mimi walimuacha Mzee wangu ICU halafu walipokuja wanasema anapelekwa kcmc na bado kcmc ambulance ilichelewa kufika yaani maisha kumpeleka walahawajielewi tumelipa 1.2ml ya ambulance ambulance yenyewe imezeeka inanuka uvundo ila selian ni ujinga tu ndio upo kufika Sasa huko kcmc hawajielewi baba yangu akifariki Kwa ujinga wa manesi na madaktari bado muhimbili nawao wanasema wampe dawa za maumivu Kwa maana daktari bingwa hayupo anakuja baada ya wiki mbili kiforce life akaletwa mwingine akamfanyia operation weh kumbe naye hajielewi nakumbuka wiki tatu baadae nipo kwenye mitihani naambiwa Mzee hatunaye Tena kafariki alikufa tarehe 14/10/2008 hapo bado mie Binti mdogo sana .
Hakuna wakunilipia ada Wala Nini mateso ndio yakaanzaga hapo nililia sana .
Kwani ndugu walichukua kila kitu Wana choona kinafaa na mengi yalitokea .
So Kwa serikali hii hakuna misaada All in All ni Mungu pekee ndio anaweza kukusaidia yeye ndiye anayeweza kukuepushia jambo lolote liwe gumu au rahisi .
Kufiwa jambo baya unamwona baba Yako Kawa mweusi kwenye jeneza na unaambiwa muage mara ya mwisho aloo ....
Humuoni Tena hapo hujui hata ulie kwanini bado gundu huu ya gundu uachwe na kimeo pia .
Eti anaona humfai wewe kufiwa ni jambo ambalo ni baya sana