Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hayo mazuri ni wajibu wake anatimiza, tuache kuwa watu wa kujikomba kwa watawala.
Majaliwa mnamuonea jamaniiii.Mbona yakitokea mazuri hasifiwi??anasifiwa mwingine na yule anayeogelea sifa mnataka na hili hasilaumiwe?
Mfumo wa utawala tanzania ni maamuzi ya mtu mmoja kwa hiyo wengine wanakuwepo kama vivuli.