PM Majaliwa ana roho ngumu sana. Na ninadhani anatuona wananchi kama wanyama tu. Kwann hawajibiki pale maovu na uzembe vinapotokea kwenye serikali?
Au hatambui maana ya cheo ni dhamana?
2020 Mv Ukerewe iliua watu wengi yeye akiwa waziri mkuu. Shughuli za uokozi zilikuwa za kiwango cha chini kiasi cha kutia aibu. Majaliwa yupo tu!
2020... Ajali ya moto Msamvu iliuwa watu zaidi ya 100. Uokoaji ulifanyika kizembe na hata tiba za watu wale hazikuwa za kiwango cha kitaalamu Majaliwa yupo tu.
Leo 06/11/2020 ajali ya ndege ya Precision imetokea na kuua watu 19. Huku uokoaji ukiwa imetawaliwa na dhihaka ya kiwango cha SGR..... Majaliwa yupo tu.
Are the tanzanians subjects or objects? Why leaders are not accountable?
Eti sasa tunaqmbiwa serikali inaandaa mazishi ya heshima kwa marehemu wa ajali ya ndege. Hatutaki mazishi ya heshima, tunataka maisha yalindwe kwa heshima
Au hatambui maana ya cheo ni dhamana?
2020 Mv Ukerewe iliua watu wengi yeye akiwa waziri mkuu. Shughuli za uokozi zilikuwa za kiwango cha chini kiasi cha kutia aibu. Majaliwa yupo tu!
2020... Ajali ya moto Msamvu iliuwa watu zaidi ya 100. Uokoaji ulifanyika kizembe na hata tiba za watu wale hazikuwa za kiwango cha kitaalamu Majaliwa yupo tu.
Leo 06/11/2020 ajali ya ndege ya Precision imetokea na kuua watu 19. Huku uokoaji ukiwa imetawaliwa na dhihaka ya kiwango cha SGR..... Majaliwa yupo tu.
Are the tanzanians subjects or objects? Why leaders are not accountable?
Eti sasa tunaqmbiwa serikali inaandaa mazishi ya heshima kwa marehemu wa ajali ya ndege. Hatutaki mazishi ya heshima, tunataka maisha yalindwe kwa heshima