PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022

Diary yangu.... Mwezi wa June 2022. Nikiwa hai nitafuatilia
 

ghalama za uhalibifu wa mazingira yapi??

ukitaka hivyo hata barabara itapigiwa hesabu za uharibifu wa mazingira halafu maana itapotea kabisa.
 
Mh!naikumbuka gesi ya mtwara,tulijidai nayo kuwa inakuja kumaliza matatizo ya umeme nchi lakini kilichotokea kila mmoja wetu anajua[emoji45][emoji45][emoji45]
Aliekwambia si yupo,mbona hamumuulizi na kwenye misiba yupo anaonekana.
 
Mkuu, tanzia ni kweli hazitangazwi kama kipindi kile! Sasa ni kwamba watu/maaskofu hawafi? Au wakifa hawatangazwi?

Mimi kwa upande wngu naona misiba imepungua sana baada ya kushindwa na kufa kwa yule muovu"
 
Mkalimani anahitajika hapa.
 
Wataalamu wanisaidie, Kidatu, Kihansi, Hale (1& 2) na Nyumba ya Mungu ambao wanazalisha umeme wa maji kwa pamoja wanazalisha mw ngapi? Na mitambo isiyotumia maji inazalisha kiasi gani?
Kwa sasa watumiaji wadogo (wanyonge) wanalipa karibu shilingi 100 kwa unit. Kutoka Shilingi 36 hadi 100 ni parefu.
 
Wanaopinga mradi huu ni mafisadi ambao wamepewa fedha na mabeberu kwa ajili ya gas ha mtwara na symbion.

 
Gas ya mtwara imesha chukuliwa na mabeberu na dalali wao ni muhongo.
Mh!naikumbuka gesi ya mtwara,tulijidai nayo kuwa inakuja kumaliza matatizo ya umeme nchi lakini kilichotokea kila mmoja wetu anajua[emoji45][emoji45][emoji45]
 
Sequel ya Stori ya kusisimua -"trillioni ya cubic feet gesi" coming soon too a theatre near you "maelfu ya megawati umeme"
 
 
sawa wataweka electrical generating system ya hivi sasa lakn mabadiliko ya tabia nchi tangu kipindi hicho mpaka hv sasa ni bora wangeacha tu ile Hifadhi ya Selous kuliko kuiharibu bureee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wangeupdate feasibility study tungejiridha maan hapa tulipo kama tunabet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…