PM Majaliwa: CHADEMA, ACT Wazalendo, NCCR, CUF, CCM na DP vimepokea jumla ya Tsh 17.5 bilioni ikiwa ni Ruzuku

PM Majaliwa: CHADEMA, ACT Wazalendo, NCCR, CUF, CCM na DP vimepokea jumla ya Tsh 17.5 bilioni ikiwa ni Ruzuku

Waziri mkuu mh Majaliwa amesema Vyama 6 vya Siasa vyenye Sifa ya kupata Ruzuku ya Serikali vimepokea Jumla ya tsh 17.5 bilioni

Vyama hivyo sita ni Chadema, ACT wazalendo, NCCR mageuzi, CUF, CCM na DP

Chanzo: Swahili Times

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka tele!
Ningeshangaa 17b kupata vyama vya upinzani. Huyo kataja vyama vingine ili kuua soo, ila hiyo pesa 99% wamepokea CCM.
 
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema Vyama 6 vya Siasa vyenye Sifa ya kupata Ruzuku ya Serikali vimepokea Jumla ya tsh 17.5 bilioni

Vyama hivyo sita ni Chadema, ACT wazalendo, NCCR mageuzi, CUF, CCM na DP

Chanzo: Swahili Times

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka tele!
Ndio maana Mnyika, si kwa yale mashavu
 
Hahahahaha ufipa walisema hawautambui uchaguzi wa 2020 ila ruzuku wanaitambua mbwa hawa.
 
CHADEMA

Wamenyooka. Wanaheshimu mamlaka.
Wanapokea ruzuku

.... waje waseme Uchumi umeporomoka.

CHADEMA wamrudishie Mbowe hela zake.
 
Hizi Ruzuku zilipigwa marufuku na chadema na ikasemwa kwamba, Mbowe akizichukua ahame chama maana atakuwa amekivunjia heshima chama, kwa sababu chadema haina wabunge inaowatambua!
Ha ha ha ha
 
Huu upumbavu wa Chadema kujifanya wanagomea/kususia baadhi ya mambo kwa sababu za kipumbavu vile vile bora waache, hata kipindi cha Kikwete waligoma kumtambua Kikwete kama Rais. Haiwezelani mnaanzisha jambo halafu shabaha yenu ni maridhiano ambayo hayazai jambo lolote kubwa la maana lenye kuleta mabadiliko.
 
Walamba asali kumbe ruzuku wanatafuna bwana!!
😀😀😀🤣🤣We si unaona hata akili zao na hoja zao zimekuwa za kichawachawa tu. Hela za Watanzania zinabagazwa na hawa wachumia matumbo mbaya kabisa.
 
Huu upumbavu wa Chadema kujifanya wanagomea/kususia baadhi ya mambo kwa sababu za kipumbavu vile vile bora waache, hata kipindi cha Kikwete waligoma kumtambua Kikwete kama Rais. Haiwezelani mnaanzisha jambo halafu shabaha yenu ni maridhiano ambayo hayadhai jambo lolote kubwa la maana.
Hilo genge la saccos wao wanalenga hela tu. Habari za wananchi na shida zao sio kitu kwao.
 
Wabunge 19 haramu.

Ruzuku inayotokana na wabunge 19 halali wanaitafuna.

Waoza meno asili yao ni ujambazi.
KAma ruzuku inawasaidia na ndio lengo kwanini waliwafukuza, na kwanin wanatoa ushahidi wa kuwakandamiza ili washindwe (19) kesi yao, je kwanini cdm wanahudhuria mahakamani na kupeleka mashahidi?
 
Isijekuwa zimeingizwa kwenye akaunti tu kama alivyofanya fei toto kuweka pesa kwenye akaunti ya yanga
Yanga inaingiaje hapa na huyo mpuuzi mchezaji?
Tujadiliane mambo haya kitaifa fedha zinapigwa.
We unakuja na majina yasioeleweka tena
 
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema Vyama 6 vya Siasa vyenye Sifa ya kupata Ruzuku ya Serikali vimepokea Jumla ya tsh 17.5 bilioni

Vyama hivyo sita ni Chadema, ACT wazalendo, NCCR mageuzi, CUF, CCM na DP

Chanzo: Swahili Times

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka tele!

---
Katika bajeti ya 2022/23, Serikali imetoa ruzuku ya Sh17 bilioni kwa vyama sita vya siasa vyenye sifa za kupewa ruzuku.

Vyama hivyo ni CCM, Chadema, NCCR- Mageuzi, ACT Wazalendo DP na CUF na kwamba itaendelea kufanya hivyo ikiwa ni takwa la kisheria.

Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatano Aprili 5, 2023 na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akisoma hotuba ya Makadilio ya Mapato na matumizi kwa Ofisi na Wizara zilizo chini yake

Kwa kauli hiyo, ni dhahiri kuwa imehitimisha minong'ono ya Chadema kuwa hawajachukua ruzuku kutoka Serikali.

Kwa muda sasa kumekuwa na mjadala kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Chadema ambao walishakaririwa mara kadhaa wakisema hawachukui ruzuku ingawa siku za hivi karibuni wamekuwa kimya kuhusu jambo hili.

Waziri Mkuu hakusema vyama hivyo kila kimoja kimechukua kiasi gani cha fedha kwa wakati huu.

Waziri Mkuu amesema demokrasia imeendelea kuimarika nchini ikiwemo uhuru wa vyama vya siasa na nyombo vya habari katika kujenga nchi yao.


MWANANCHI
Ooh ok
 
Waziri mkuu mh Majaliwa amesema Vyama 6 vya Siasa vyenye Sifa ya kupata Ruzuku ya Serikali vimepokea Jumla ya tsh 17.5 bilioni

Vyama hivyo sita ni Chadema, ACT wazalendo, NCCR mageuzi, CUF, CCM na DP

Chanzo: Swahili Times

Nawatakia Juma Takatifu Lenye Baraka tele!

---
Katika bajeti ya 2022/23, Serikali imetoa ruzuku ya Sh17 bilioni kwa vyama sita vya siasa vyenye sifa za kupewa ruzuku.

Vyama hivyo ni CCM, Chadema, NCCR- Mageuzi, ACT Wazalendo DP na CUF na kwamba itaendelea kufanya hivyo ikiwa ni takwa la kisheria.

Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatano Aprili 5, 2023 na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akisoma hotuba ya Makadilio ya Mapato na matumizi kwa Ofisi na Wizara zilizo chini yake

Kwa kauli hiyo, ni dhahiri kuwa imehitimisha minong'ono ya Chadema kuwa hawajachukua ruzuku kutoka Serikali.

Kwa muda sasa kumekuwa na mjadala kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Chadema ambao walishakaririwa mara kadhaa wakisema hawachukui ruzuku ingawa siku za hivi karibuni wamekuwa kimya kuhusu jambo hili.

Waziri Mkuu hakusema vyama hivyo kila kimoja kimechukua kiasi gani cha fedha kwa wakati huu.

Waziri Mkuu amesema demokrasia imeendelea kuimarika nchini ikiwemo uhuru wa vyama vya siasa na nyombo vya habari katika kujenga nchi yao.


MWANANCHI
Kamilisha taarifa yako kwa kuonyesha kila chama kimepata kiasi gani, vinginevyo ni kufunika kombe mwanaharamu apite
 
Back
Top Bottom