PM za wadada wengi wa MMU zimejaa meseji za mitongozo

Ndo nielekeze upo mkoa gani na ni sehem gani nkija mi takuulizia kwa jina gani kama nipm tusimwage kuku kwenye mchele wengi maana kuna njemba humu ukizitajia sasa hv utashangaa kesho mapeeema sana zishafika
 
Ndo nielekeze upo mkoa gani na ni sehem gani nkija mi takuulizia kwa jina gani kama nipm tusimwage kuku kwenye mchele wengi maana kuna njemba humu ukizitajia sasa hv utashangaa kesho mapeeema sana zishafika
Agenda ya kunitafuta ni nin?
 
Anaetumia hizi IDs:

1. Moniccca
2. Monicca 2
3. Chiwaso
Mi natumia moniccca hizo nyingne zitafutieni PA kwenda, hata hivyo hata kama zingekuwa zangu kwanini nizikane?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…