Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Huyo mtoto wa mjini ana aibu kweli? Hivi Kapteni Chiligate ilikuwaje?
 
Nasikia hata tajiri wa mabasi wa dodoma ambaye pia Ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.

Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae

Pia nasikia mbunge Fulani wa huko geita alijiburuza nae

Si Haba
Vya bure kabisaa naonaaa kila mtu anapita naonaa...
 





 
Only in Tanzania mchepuko anapigania haki apewe msiba wakati Mke halali yupo hai na mbaya zaidi ni mtunga sheria lakini ndiyo wa kwanza kuvunja sheria 🙄
Mbunge hajavunja sheria yoyote. Nadhani kabla hatujalaumu zaidi tunakiwa kuwa na taarifa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…