Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Yaani nilikuta mdogo wangu kaoa kichochoroni nilimtia makofi na kichamboo hana hamuu!!

Mimi tulikosana kabisa na mawasiliano yakaisha kwa miaka miwili,leo hii huwa ananishukuru kuwa niliinusuru ndoa yake,maana mke wake alihold on kwa kuona Mimi na Mama tumesimama nae,Kaka yangu akapuyanga wee mwisho wa siku amekuja tulia na Mke wake wa Ndoa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
 
Umeona CCM tu je Chadema hao wa viti maalumu ni wanaume nini
 
Hawa ndugu zetu huwa wanahangaika weeee ila wakishafulia na afya mgogoro ndiyo wanakumbuka wake zao wa ndoa. Washindwe
Yani acha kabisa,tena unakuta tunasifia upande wa mchepuko kisa tu unapewa vijizawadi vidogo vidogo bila kujua unaharibu future ya ndugu yenu.
 
Yupo kwenye list ndio hadi dada zangu,wewe una ndoa tayari au ni mganga njaa kama Kase?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nasubiri uachike nijisogeze kwa mumeo.

Mana na we ndo wale wale tu

Juu ndevu chini bikini.
 
Duuuuuh tobaaaah wee, lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…